Watetezi. . .

Aisay nimerudia kama mara mbili naona ni vile vile...hizo study zako umezipata wapi, au umezistudy vipi mpaa ukamake sure ziko sawa...Au ni akili yako tu imekutuma vile.

Hebu chukua mfano mdogo sana....Leta wizi wawili hapo ufanye kama joke, uwaulize nani kaiba pesa zako uone wanavyo jiishitaki...kila mmoja atamsonta mwenzie ndio kaiba, Kwa sababu kila mmoja wao anaona kaharibiwa deal yake.

Naomba hiyo paragrapgh ya kwanza niiache maana siwezi kurudia kitu kile kile nikijua fika hatuelewani.

Kuhusu wezi kuchomeana hiyo inatokea pale wote wanapowekwa kati, kama ambavyo watu hua wanakuja kulalamika JF kuhusu wenzio wao na kusema wenzi wao ndio wakosaji, ndio waliosababisha ndoa ikageuka chungu wakati ukimtafuta huyo mwenzi ukamuuliza nae atasema yale yale kuhusu mwenzake. Kila mmoja anakua busy kumlaumu mwenzie wakati pengine yeye tu ndie mharibifu.
 
siwezi elewa
end the relationship immediately.

Ndio maana nikasema baadhi.

Kwahiyo wewe kama wewe upo tayari kuwa muwazi kwa mwenzako linapokuja swala la mawasiliano? Je yeye akiwa anaamini kinyume na hapo. . . mtaelewana?
 
Anyway, nimejikuta nafikiria haya kwasababu nashawishika kufanananisha 'BAADHI' ya watu wanaotetea waume/wake/wapenzi wao wanapocheat na kuishia kutoa visingizio vingi vya kwanini wenzi wao wamecheat ili waonekane hawana hatia.

Anyways Lizzy maelezo yako yote yamejikita hapo.....na nashawishika pia kuamini kuwa hii thread ni matokeo ya hoja ya Kongosho kwen thread ya Nyani Ngabu hapa hapa hebu bisha uone lol

so kimsingi, majibu yake yamo mule mule kwa NN....:focus:
 

...mnh, sasa Lizzy hapa umeniacha njia panda... unataka nizungumzie utetezi wa kwanini glass is neither half full nor half empty, au unataka nizungumzie privacy?

Anyway...mimi ni mmojawapo ninayeweza kataa ushahidi wa upande wa mashtaka hata kama ushahidi unajitosheleza. Everything happens for a reason bana....hata cheating zina sababu nyingine za msingi kabisa zinazokubalika hata na mshtaki ila basi tu, kila mtu anapendelea aonekane yeye ndiye wa kwanza kurusha jiwe...

...kuhusu hilo la privacy, mnh...bado hujanishawishi kumwachia passwords zangu mtu ninayelala naye na kufanya mengineyo yote iwe na taa au gizani. Kuna raha fulani kuishi on the edge of things, na hili la kumuachia maswali mwenza what next inasaidia, otherwise maisha yatakuwa very boring bana, haijatulia mwenza 'akusome' kama kitabu.


My motto is, DONT TRUST NO ONE!
 
ok ni hivi
kuna vitu tunaviamini ndani kabisa ya mioyo yetu
ambavyo vinasababisha viwe 'maamuzi' makuu wakati wa crisis....
Mazee, wewe fatilia Key words zake utaona kuna...Nadhani...Inawezekana
Yani hana uhakika anayo yasema.

Night-night.
 
Yap,exactly umepatia.
Hata kama binafsi hucheat ila huamini mwenza wako akicheat umwache sababu si sababu tosha ya kumwacha.

Lizzy
kuna kitu Kongosho anakueleza sidhani kama unakielewa...

labda nikuulize umewahi kukutana na kitu kinaitwa
'the power of subconscious'???????/
 
Anyways Lizzy maelezo yako yote yamejikita hapo.....na nashawishika pia kuamini kuwa hii thread ni matokeo ya hoja ya Kongosho kwen thread ya Nyani Ngabu hapa hapa hebu bisha uone lol

so kimsingi, majibu yake yamo mule mule kwa NN....:focus:
Natamani tungekua hapa kubishana then ningebisha, ila kwasababu sicho kilichonileta hapa I'll pass.
 

...mnh, sasa Lizzy hapa umeniacha njia panda... unataka nizungumzie utetezi wa kwanini glass is neither half full nor half empty, au unataka nizungumzie privacy?

Anyway...mimi ni mmojawapo ninayeweza kataa ushahidi wa upande wa mashtaka hata kama ushahidi unajitosheleza. Everything happens for a reason bana....hata cheating zina sababu nyingine za msingi kabisa zinazokubalika hata na mshtaki ila basi tu, kila mtu anapendelea aonekane yeye ndiye wa kwanza kurusha jiwe...

...kuhusu hilo la privacy, mnh...bado hujanishawishi kumwachia passwords zangu mtu ninayelala naye na kufanya mengineyo yote iwe na taa au gizani. Kuna raha fulani kuishi on the edge of things, na hili la kumuachia maswali mwenza what next inasaidia, otherwise maisha yatakuwa very boring bana, haijatulia mwenza 'akusome' kama kitabu.


My motto is, DONT TRUST NO ONE!
Mbu hamna ubaya ukigusia vyote.

Alafu niambie kwa kukumbatia simu kunafanya vipi muishi "on edge of things"? Maisha hayawezi kua exciting na spontanious kama atakua anaweza akatumia simu yako au anajua password yako ya facebook?
 

....jamani ee, hivi kuna mtu hapa ana 100% anajua kinachoendelea kichwani mwa mwenza wake (mume/mke/mpenzi?),.....hakuna siri ya watu wawili, kuna yalisyo ya siri kwenye handset yangu, email account yangu, bank account yangu, nk ambayo ni bahati mbaya tu siwezi yahifadhi kifuani nizikwe nayo...

Kuna swali niliwahi liuliza siku ya nyuma, ni wangapi hapa wenza wao wanajua ids wanazozitumia hapa jf?
kwanini we dare to talk openly nyuma ya annonymous names kuliko hata face to face na wenza wetu?
kuna siri kubwa tunazihifadhi,...hamjanishawishi bado kuniaminisha hamna siri...
 
Kurwa hao wanaowatetea huku wenyewe wakiwa faithful kwa kila namna sio nnaowaongelea.

aaaaahhhh Okay ..
unawaongelewa wale kina hunny bunny..
"mume wangu ananipenda na mimi na muamini asilimia mia.
na mimi ni faithful kwakwe na ye anafahamu hilo.. Next minute
kaolewa kwenye internet na mtu asiemfahamu..."
 

....jamani ee, hivi kuna mtu hapa ana 100% anajua kinachoendelea kichwani mwa mwenza wake (mume/mke/mpenzi?),.....hakuna siri ya watu wawili, kuna yalisyo ya siri kwenye handset yangu, email account yangu, bank account yangu, nk ambayo ni bahati mbaya tu siwezi yahifadhi kifuani nizikwe nayo...

Kuna swali niliwahi liuliza siku ya nyuma, ni wangapi hapa wenza wao wanajua ids wanazozitumia hapa jf?
kwanini we dare to talk openly nyuma ya annonymous names kuliko hata face to face na wenza wetu?
kuna siri kubwa tunazihifadhi,...hamjanishawishi bado kuniaminisha hamna siri...

mimi simu yangu ya mkononi huwa siwezi hata mmtu mwingine aitumie mara moja
kuna watu utasikia niazime simu yako,nimeishiwa credits....mimi i prefer kuwarushia credits...
kuliko kugusa yangu
 
Mbu hamna ubaya ukigusia vyote.

Alafu niambie kwa kukumbatia simu kunafanya vipi muishi "on edge of things"? Maisha hayawezi kua exciting na spontanious kama atakua anaweza akatumia simu yako au anajua password yako ya facebook?

...wala siikumbatii, naweka password tu kisha naizima, hata akitoa chip bado huko kuna pin lock vile vile...
Mambo ya kununiwa kisa mtu hajaelewa sms kwenye simu yangu yananiharibia siku bure...i dont have time for that.
 

....jamani ee, hivi kuna mtu hapa ana 100% anajua kinachoendelea kichwani mwa mwenza wake (mume/mke/mpenzi?),.....hakuna siri ya watu wawili, kuna yalisyo ya siri kwenye handset yangu, email account yangu, bank account yangu, nk ambayo ni bahati mbaya tu siwezi yahifadhi kifuani nizikwe nayo...

Kuna swali niliwahi liuliza siku ya nyuma, ni wangapi hapa wenza wao wanajua ids wanazozitumia hapa jf?
kwanini we dare to talk openly nyuma ya annonymous names kuliko hata face to face na wenza wetu?
kuna siri kubwa tunazihifadhi,...hamjanishawishi bado kuniaminisha hamna siri...
Mbu usiwe mgumu sana bwana, mbona hizo siri ukichukuliwa zitajulikana tu. Au ndio yale ya "maiti haina aibu" kwahiyo haijalishi?

Mi wangu ntampa ID yangu awe anaangalia nnayochangia akipenda. Tatizo la watu kuwa wagumu kwa hili ni kwamba walivyo/wanavyokua hapa sivyo walivyo mitaani.
 

...wala siikumbatii, naweka password tu kisha naizima, hata akitoa chip bado huko kuna pin lock vile vile...
Mambo ya kununiwa kisa mtu hajaelewa sms kwenye simu yangu yananiharibia siku bure...i dont have time for that.
Huamini kwamba ni muelewa kiasi cha kuweza kupuuza kama akiona haijakaa kama vile una maisha ya siri?
Alafu kuiacha simu huru haina maana mtu awe anafanya ukaguzi bana.
 
aaaaahhhh Okay ..
unawaongelewa wale kina hunny bunny..
"mume wangu ananipenda na mimi na muamini asilimia mia.
na mimi ni faithful kwakwe na ye anafahamu hilo.. Next minute
kaolewa kwenye internet na mtu asiemfahamu..."
YES. . . that's the type.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom