Dark City
JF-Expert Member
- Oct 18, 2008
- 16,253
- 11,598
Lizzy,
Kuna wale ambao wanaonekana kama wanawatetea cheaters kwa sababu wana full knowldge ya kile kinachoendelea kwenye jamii. Bila kujali kama wenyewe ni cheaters au la!!
Suala la privacy kwenye ndoa napingana nalo sana....Tulishawahi kujadili suala la simu hapa hapa!!
https://www.jamiiforums.com/mahusia...kwa-nini-simu-ya-mume-iogopwe-kama-ukoma.html
Kuna wale ambao wanaonekana kama wanawatetea cheaters kwa sababu wana full knowldge ya kile kinachoendelea kwenye jamii. Bila kujali kama wenyewe ni cheaters au la!!
Suala la privacy kwenye ndoa napingana nalo sana....Tulishawahi kujadili suala la simu hapa hapa!!
https://www.jamiiforums.com/mahusia...kwa-nini-simu-ya-mume-iogopwe-kama-ukoma.html