I AM NO ONE
JF-Expert Member
- Aug 7, 2020
- 389
- 576
Watetezi wa wanyonge wakiwa ndani ya sare kamili
CCM mpya chini ya Bashiru na Chakubanga mbona imeacha kuongelea mambo ya madege na madaraja? Walidhani mwanzoni kuwa wananchi watakula madaraja? Sasa kama wanajua kusoma alama za nayakati wasome. Huu uchaguzi waki mess up wanakwenda kupigwa vikwazo siyo vya dunia hii.. Yaani sisi
Mila na destuli zetu tuzienzi,sioni tatizo au kosa alilo fanya kiga. Wewe mwafrika unayeshangaa na kubeza tambiko ni mwenda wazimu na mtumwa wa kifkra.Huyo nae anatafuta nafasi za kwenda kutetea wananchi View attachment 1589702
Ndio madaraja,barabara, umeme nk yanarahisisha maisha kwa kupunguza gharama za usafiri
Kwahiyo October tunampigia kura 98% Rais Magufuli kipenzi cha Watanzania
mabwanyenye aka mashetani ya ccm