Lord OSAGYEFO
JF-Expert Member
- Feb 19, 2021
- 3,085
- 4,881
Hakika inashangaza sana WATENDAJI wa ARDHI MANISPAA ya SUMBAWANGA kufanya kazi Kisiasa badala ya Kufuata SHERIA zilizopo.
MANISPAA imekuwa Ikiwanyang'anya WAMILIKI wa VIWANJA waliovipata KISHERIA na Wanavimiliki kwa HATI za MUDA Mrefu na kuwapa Watu wengine.
UAMUZI huo Wanadai ulifikiwa kwenye VIKAO vyao vya Ndani.HOJA au SABABU ya Kuwanyang'anya ni MANISPAA kudaiwa FIDIA na Waliokuwa Wamiliki wa hayo Maeneo.Swali la kujiuliza
Je, kwanini MANISPAA haikuwalipa FIDIA Wahusika ?
Je Wahusika mpaka MANISPAA inapima na Kugawa VIWANJA walikuwa wapi kudai FIDIA ya Maeneo yao?
Je MANISPAA fedha ilizozipata kwa KUUZA hivyo VIWANJA kwanini hazikutumika Kulipa FIDIA?
Je WALIOMILIKISHWA na Kuandaliwa HATI wana KOSA gani mpaka Wanyang'anywe hivyo Viwanja walivyovipata KISHERIA?
Je SHERIA inasemaje ya kumnyang'anya Kiwanja Mmiliki Mwenye HATI ya MUDA Mrefu na Kummiliksha MTU Mwingine Bila KUFUTA HATI?
Tunamwomba WAZIRI WA ARDHI atoe Tamko juu ya Huu UHUNI unaofanywa na WATENDAJI wake kwani Tayari kuna MGOGORO MKUBWA baina ya WAMILIKI na Wenye Maeneo na WATENDAJI wa MANISPAA.
MANISPAA imekuwa Ikiwanyang'anya WAMILIKI wa VIWANJA waliovipata KISHERIA na Wanavimiliki kwa HATI za MUDA Mrefu na kuwapa Watu wengine.
UAMUZI huo Wanadai ulifikiwa kwenye VIKAO vyao vya Ndani.HOJA au SABABU ya Kuwanyang'anya ni MANISPAA kudaiwa FIDIA na Waliokuwa Wamiliki wa hayo Maeneo.Swali la kujiuliza
Je, kwanini MANISPAA haikuwalipa FIDIA Wahusika ?
Je Wahusika mpaka MANISPAA inapima na Kugawa VIWANJA walikuwa wapi kudai FIDIA ya Maeneo yao?
Je MANISPAA fedha ilizozipata kwa KUUZA hivyo VIWANJA kwanini hazikutumika Kulipa FIDIA?
Je WALIOMILIKISHWA na Kuandaliwa HATI wana KOSA gani mpaka Wanyang'anywe hivyo Viwanja walivyovipata KISHERIA?
Je SHERIA inasemaje ya kumnyang'anya Kiwanja Mmiliki Mwenye HATI ya MUDA Mrefu na Kummiliksha MTU Mwingine Bila KUFUTA HATI?
Tunamwomba WAZIRI WA ARDHI atoe Tamko juu ya Huu UHUNI unaofanywa na WATENDAJI wake kwani Tayari kuna MGOGORO MKUBWA baina ya WAMILIKI na Wenye Maeneo na WATENDAJI wa MANISPAA.