wanaojulikana
JF-Expert Member
- Sep 14, 2017
- 576
- 901
Wewe mleta mada unaumwa akili au, basi kakuambia tukio la Jana aliyeonekana mjinga kabisa ni JPM kwa kitendo kile.
Kwa ushauri wako angeweza kujibuje ili asalimike?hata kama, bosi wako hawezi kukuuliza unajibu "siwezi kujua nina idara nyingi"
Bora umemjibu anayeogopwa ni Mungu yaani eti niseme uongo kisa Rais anaforce nimtajie data.Nyoooo!!!!
Yule mama ni genius. Kajibu very directly: hawezi kukariri madata ambayo yapo yameandikwa na mhasibu yupo. Raisi akiuliza swali la kipumbavu linapaswa kujibiwa kipumbavu, maana huo utamaduni wa kutaka kuabudiwa ni ushensi wa tabia.
Wa kuabudiwa ni Mungu pekee.
Watanzania wajinga ndio mtaji wa watawala.
Mkurugenzi asipojua figures hiyo barabara itakua mbovu au haitojengwa?
Kama lengo lake ni kujua takwimu kwanini asimuulize Engineer wa Halmashauri?
Kwanini asiulize Tanroads?
Kuna mambo rais anafanya ya kisiasa wala sio maendeleo kama tunavyodhani.
Simple tu " mkuu kwa sasa sina jibu la uhakika "Kwa ushauri wako angeweza kujibuje ili asalimike?
Kwa hiyo kwako kutofautiana na mtazamo wa 'Rais' ni kuwa na majungu? Waogopa kuwa na mtazamo tofauti? Maana yake waogopa hata kujiruhusu kufikiri.Haya Ungana nae kaja huyo, msaidiane majungu mtaani dhidi ya rais
Kasikilize vizuri mwishowe ndivyo alivyomjibu. Rais wetu ajifunze kutawala milipuko. Kuni hutoa moto na moshi pia.Simple tu " mkuu kwa sasa sina jibu la uhakika "
Hapa hatubishani mkuu!Kwani ni lini Rais aliweza kujitofautisha na mwenyekiti wa CCM?
mkuu hii kaongea Kibwana Datch sio MkambalaOmari Mkambala wa Magic FM (7/11/2017 08:2-6) anasema swali hilo rais analiuliza sana kwenye majimbo yanayoongozwa na wapinzani ili kuwa discredit wabunge wa upizani wanaosema wamewezesha barabara kujengwa. Anasema ndiyo maana kwenye hotuba ya jana eti Rais alisema "mbunge wenu anasema anajenga barabara nataka mjue hizo barabara zinajengwa na serikali kuu". Akazidi kusema Rais hawezi kuuliza swali hilo kwenye majimbo yanaoongozwa na CCM. Sasa kama hilo ndilo lengo mbona lile neno maendeleo hayana chama kama inakosa mashiko hivi.
Sasa mambo ya " sitaki kuwa muongo" yalitoka wapi?!!Kasikilize vizuri mwishowe ndivyo alivyomjibu. Rais wetu ajifunze kutawala milipuko. Kuni hutoa moto na moshi pia.
Kauri yako, au yake umeielewa?Kwa hiyo kwako kutofautiana na mtazamo wa 'Rais' ni kuwa na majungu? Waogopa kuwa na mtazamo tofauti? Maana yake waogopa hata kujiruhusu kufikiri.
Watanzania wajinga ndio mtaji wa watawala.
Mkurugenzi asipojua figures hiyo barabara itakua mbovu au haitojengwa?
Kama lengo lake ni kujua takwimu kwanini asimuulize Engineer wa Halmashauri?
Kwanini asiulize Tanroads?
Kuna mambo rais anafanya ya kisiasa wala sio maendeleo kama tunavyodhani.
Acha double standard mkuu,hata Rais kuna umuhimu wa kutofautisha ni muda gani anaongea kama Mwenyekiti wa CCM Taifa na muda gani anaongea kama Rais wa JMT.Watendaji wengi hushindwa kutofautisha ni wakati gani huwa wanatoa majibu kwa Rais, ambaye ndiye amiri jeshi mkuu na ni wakati gani huwa wanamjibu Mwenyekiti wa CCM. Nadhani ni muhimu kwa hawa maRC, DC na Wakurugenzi ambao wengi ni makada wakapewa elimu ya kutosha katika eneo hili.
Unaweza kumbishia au kumrekebisha Mwenyekiti wa chama utata unapojitokeza lakini kamwe huwezi kufanya hivyo kwa Rais wa nchi na hiyo ni itifaki. Umeulizwa swali na Rais jukumu lako ni kutoa majibu, kama hujui sema tu sina majibu kwa sasa mkuu full stop!! Ni hayo tu!