Watekaji Wampuuza Simbachawene

Erythrocyte

JF-Expert Member
Joined
Nov 6, 2012
Posts
137,676
Reaction score
272,524
Juzi tu Baada ya kuapishwa Mh Simbachawene alijitokeza hadharani akiwaelekeza Polisi namna nzuri ya kukamata Watuhumiwa, akapinga ukamataji wa kishamba kwa kutumia mabunduki mengi na magari ya kificho huku wakamataji wakivaa kininja

Leo yametokea huko Kidia Old Moshi AMBAKO bila wananchi kuingilia Kati Mama yake Malissa angetekwa na kuuawa

Hii Maana yake kipo kikosi ambacho Waziri hana mamlaka nacho, n.a. asipoangalia iko siku hata yeye atatekwa
 
porojo nonsense kabisa hii dah
 
jeshi juu ya jeshi.hakiachi kitu. kikosi maalum chini ya kamanda nani vile?
 
Kikosi cha Dully Sykes
 
Mama yake ametekwa na hapatikani kwenye simu. Nimeona huko kwenye mitandao
 
Sio kutekwa , watamvua cheo.
 
Serikali batili haitambuliki hata jehanum
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…