MzaramoTz
JF-Expert Member
- Dec 13, 2017
- 1,873
- 3,096
Habari zenu wakuu.
Natumai mnaendelea vyema kabisa na ujenzi wa Taifa letu pendwa.
Tunakaribisha wateja wa embe aina ya apple kwa kiwango kikubwa. Kama una hoteli au mgahawa hizi embe zinafaa sana kwa juice.
Tunazo embe mbivu na mbichi itategemea na mahitaji ya mteja. Embe ni kubwa na nzuri kabisa, pia tunampelekea mteja mahali alipo bila ya kulipia gharama ya usafiri ila kuanzia idadi ya embe 50.
-Embe mbichi bei ni 800 tukimpelekea mteja alipo. Ila akija kuchukua shambani/ofisini bei inapungua na kuwa 700 kwa embe moja.
-Embe mbivu bei ni 700 tukimpelekea mteja alipo. Ila akija kuchukua shambani/ofisini bei inapungua na kuwa 600 kwa embe moja.
Delivery tunafanya kuanzia embe 100 na kuendelea. Na hii ni kwa wakazi wa Dar-es-salaam pekee.
Karibuni Sana.
Natumai mnaendelea vyema kabisa na ujenzi wa Taifa letu pendwa.
Tunakaribisha wateja wa embe aina ya apple kwa kiwango kikubwa. Kama una hoteli au mgahawa hizi embe zinafaa sana kwa juice.
Tunazo embe mbivu na mbichi itategemea na mahitaji ya mteja. Embe ni kubwa na nzuri kabisa, pia tunampelekea mteja mahali alipo bila ya kulipia gharama ya usafiri ila kuanzia idadi ya embe 50.
-Embe mbichi bei ni 800 tukimpelekea mteja alipo. Ila akija kuchukua shambani/ofisini bei inapungua na kuwa 700 kwa embe moja.
-Embe mbivu bei ni 700 tukimpelekea mteja alipo. Ila akija kuchukua shambani/ofisini bei inapungua na kuwa 600 kwa embe moja.
Delivery tunafanya kuanzia embe 100 na kuendelea. Na hii ni kwa wakazi wa Dar-es-salaam pekee.
Karibuni Sana.