Kipenzi Changu
Platinum Member
- Aug 24, 2011
- 57,913
- 133,926
Wenye akaunti CRDB hali ni vurugu. Unatuma pesa haifiki lakini inaonyesha imekatwa
Unatuma pesa inafika, baadae inarudishwa
Unatoa hela ATM inahesabu lakini card inatoka bila hela.
Mikopo ya kukwata at source unakatwa kwenye saving account.
Kifupi benki imechanganyikiwa. Ukipiga simu unaishia kupewa ahadi tu.
Nini kimewakumba benk hii iliyoaminika kwa ufanisi?
Unatuma pesa inafika, baadae inarudishwa
Unatoa hela ATM inahesabu lakini card inatoka bila hela.
Mikopo ya kukwata at source unakatwa kwenye saving account.
Kifupi benki imechanganyikiwa. Ukipiga simu unaishia kupewa ahadi tu.
Nini kimewakumba benk hii iliyoaminika kwa ufanisi?