Ab-Titchaz
JF-Expert Member
- Jan 30, 2008
- 14,631
- 4,225
Ab. T, thank for sharing. It is so sad ...TBC 1 -are you there?
huyo jamaa ana kujiamini kupita kiasi! yaani mtu anasikia KAPISH!!!!! halafu bado anaendelea kukaa! SBC kweli kiboko.
Hii ndiyo mentality ya viongozi wetu, wishful thinking, the fundamentals of the economy are solid wakati nchi ipo katika depression. Most of them are in denial like that.
Dah, hii hapa kwetu ingeweza kutafsiriwa kama shambulizi kutoka kwa 'kamati ya ufundi' ya wapinzani wake wa kisiasa..
Alhamdulilah haijatokea hapa kwetu..ingesababisha tume kuundwa..