Mnyalu wa Kweli
JF-Expert Member
- Oct 7, 2010
- 233
- 55
Jamani eee! kuna mtu kanidokeza kuwa ili vijana wengi wasipige kura kuna njama imefanyika, nayo ni kwamba, majina ya vijana wengi yametawanywa katika vituo tofauti ambavyo hawakujiadikishia wakati ule wa review voters' register ili wapate usumbufu wa kutafuta majina yao jumapili. Na kawaida ya vijana wakishazunguka vituo viwili au vitatu bila kuona majina yao huwa wanakata tamaa. Na mnajua vijana ( 18-45 years) ambao ndio wengi katika age ya voters wana-support nani.
Hakuna Marefu Yasiyokuwa na ncha
Hakuna Marefu Yasiyokuwa na ncha