Wanabodi habari za majukumu.
Nadhani tumepata taarifa za Polisi 8 wame uwawa Rufiji, Jee? Walikuwa wanawalaumu Polisi kwenye Uzi huu mtakuwa mmepata picha ya Rufiji kuna hali gani.
Sasa wale wa daraja la mkapa,walihatarisha maisha ya polisi /mtu yeyote ndipo polisi akatumia silaha? Au walianza kufyatua silaha ndo wakauwawa?
Mbona waliuwawa kwa kuto simama,na kufunika nyuso zao tu ? Yaani mpaka mwanachi wa kawaida km mm nashindwa kuelewa sheria ya polisi kuua imetengenezwa vipi,namazingira yakuua yako vipi ?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.