CountryKing
Member
- Jan 8, 2014
- 26
- 8
Vijana Watatu (Majina name umri havijapatikana) wamekamatwa na madawa ya kulevya yanayosadikiwa kuwa Bangi yaliyokuwa yakisafirishwa kwenda kujibu Dar es Salaam. Madawa hayo yalipakiwa katika Basi number T 931 CGU la kampuni ya New Force iliyokuwa inatoka Kahama kwenda Dar. Madawa hayo yalikuwa yamewekwa kwenye mabegi ya nguo. Ukaguzi wa mabegi unaendelea Habari zaidi fuatilia news leo.