Watanzania yatupasa kubadilika maneno bila matendo haitusaidii

baba anjela

JF-Expert Member
Mar 17, 2013
431
310
Ebu watanzania tujaribu kujifunza hata kwa majirani zetu wa act vipi katika mambo yao, hakuna maendeleo/mabadiliko yanayokuja bila gharama, tukiogopa kuingia gharama basi tutabakia kuwa wamitandaoni tu na porojo na hakuna badiliko lolote.
 
Ebu watanzania tujaribu kujifunza hata kwa majirani zetu wa act vipi katika mambo yao, hakuna maendeleo/mabadiliko yanayokuja bila gharama, tukiogopa kuingia gharama basi tutabakia kuwa wamitandaoni tu na porojo na hakuna badiliko lolote.
It is very true yaani watu wanapenda vya nmteremko! Tujifunze kwa nchi kubwa 5 za Asia walipitia magumu mno mno na Rais wao hali kadhalika kuandamwa na nchi za magharibi ooh Dikteta lakini hakuvunjika moyo leo tunawaona wako juu. Watanzania wamegeuka kuwa watu wa kuongeeeaa tuu! Tunanzaisha Vitu Kenya wanakuja kuiga wanaendelea sisi tumekalia maneno tu! Na hili Mh. Rais anataka kulibadili baadhi ya watu hawakubaliani nalo! Mbaya sana!
 
Back
Top Bottom