GRAMAA
JF-Expert Member
- Nov 1, 2014
- 1,155
- 3,399
* Utundu Lisu ni ushujaa uliotukuka.
* Utundu Lisu ni kutokuwa na uoga wowote.
* Utundu Lisu ni kutangazia wazungu mazaifu ya nchi yako.
* Utundu Lisu ni uwezo wa kusema ukweli daima.
* Utundu Lisu ni kusimamia haki daima.
* Utundu Lisu ni uwezo wa kutetea wanyonge kupitia vyombo vya kimataifa.
* Utundu Lisu ni kuwa sawa kwa kila jambo ulitendalo.
* Utundu Lisu ni kukosoa kila kitu kinachotendwa na serikali.
* Utundu Lisu ni kuwa na misimamo imara.
Sasa kama ndiyo hivyo shida ipo wapi sasa?
* Utundu Lisu ni kutokuwa na uoga wowote.
* Utundu Lisu ni kutangazia wazungu mazaifu ya nchi yako.
* Utundu Lisu ni uwezo wa kusema ukweli daima.
* Utundu Lisu ni kusimamia haki daima.
* Utundu Lisu ni uwezo wa kutetea wanyonge kupitia vyombo vya kimataifa.
* Utundu Lisu ni kuwa sawa kwa kila jambo ulitendalo.
* Utundu Lisu ni kukosoa kila kitu kinachotendwa na serikali.
* Utundu Lisu ni kuwa na misimamo imara.
Sasa kama ndiyo hivyo shida ipo wapi sasa?