FaizaFoxy
Platinum Member
- Apr 13, 2011
- 100,506
- 123,777
Ndugu zetu Watanzania wote, bila kujali wewe upo chama kipi au hauna chama kabisa cha kisiasa.
CCM kama chama tawala tutapokea kero za wananchi wote bila kujali itikadi za kisiasa kuhusu maendeleo ya Tanzania katika sehemu uliyopo.
Uongozi wa CCM utazunguka nchi nzima bila kuchoka wala kusita kupokea kero na kuzitatua kwa kuzifanyia kazi papo kwa papo.
Tunapenda ieleweke kuwa CCM kama chama tawala hakitabagua Mtanzania kwa itikadi yake ya kisiasa.
Watanzania wote anzeni kujipanga na kuainisha kero zenu ambazo inabidi zifanyiwe kazi, usijali iwe kero kubwa au ndogo, CCM ipo kwa Watanzania wote bila kujali itikadi za kidini, kisiasa, kijinsia, kikabila wala kiumri.
Na wale wana JF wote mnaweza kutupia kero zenu hapa tuanze kuzifanyia kazi.
Tunataka kutimiza ahadi ya Rais ya #HapaKaziTu.
CCM kama chama tawala tutapokea kero za wananchi wote bila kujali itikadi za kisiasa kuhusu maendeleo ya Tanzania katika sehemu uliyopo.
Uongozi wa CCM utazunguka nchi nzima bila kuchoka wala kusita kupokea kero na kuzitatua kwa kuzifanyia kazi papo kwa papo.
Tunapenda ieleweke kuwa CCM kama chama tawala hakitabagua Mtanzania kwa itikadi yake ya kisiasa.
Watanzania wote anzeni kujipanga na kuainisha kero zenu ambazo inabidi zifanyiwe kazi, usijali iwe kero kubwa au ndogo, CCM ipo kwa Watanzania wote bila kujali itikadi za kidini, kisiasa, kijinsia, kikabila wala kiumri.
Na wale wana JF wote mnaweza kutupia kero zenu hapa tuanze kuzifanyia kazi.
Tunataka kutimiza ahadi ya Rais ya #HapaKaziTu.