Watanzania "wanyonge" na "masikini" tutaje nafuu tuliyoipata tangu awamu ya tano iingie madarakani

Mwanangu na yeye anasoma

Juzijuzi kwa mara ya kwanza bibi yangu kashindia kiwanja alichokua anagombania na mkubwa

Tule tumatusi mtu ukiingia ofisini kidoooogo tumeisha

Kujua eti nchi yangu ni tajiri kwa kuwabudu watu kumeisha

Kauli za kufarijiana huju tunamaisha magumu zimeisha


Kale ka umwinyi mtaani naona sasa hivi tunaheshimiana

Tugharama twa maisha sasa hivi tumeshika wote

Habari ya mtu kutembea na jera mfukoni kidoooogo kumepungua


Madawati yamekua mengi huju mpaka yawwzekana watoto wakagawiwa mengine waweke akiba nyumbani

Na mwanangu toka nimnunulie yunifomu na madaftari asee naona na yeye anasoma sekondari nachojitahidi ni kuhakikisha akitoka shule afike anakula

Kwa mara ya kwanza hospitalini kwetu huku mgonjwa anahojiwa na muhudumu akiwa hayuko anachati tena kwa upoleee

Mke wangu akienda kliniki yale makofi alokua anapigwa na wahudumu sasa hivi naona kama ngeu zimepungua


Kazini kwangu bosi hajaigeuza ofisi kama kwake tenaa
 
Hao wasiogusika wanatusaidia nini sisi wanyonge na masikini? Na hali hii mpaka link maana bajeti imeshaanza kwa mwaka wa fedha 2016/2017 inamaana tusubiri zaidi na zaidi kwenye bajeti zijazo?
 
M sure the economy has contracted in the current year yet the gvt sponsored economists will paint a different picture...
 
Hao wasiogusika wanatusaidia nini sisi wanyonge na masikini? Na hali hii mpaka link maana bajeti imeshaanza kwa mwaka wa fedha 2016/2017 inamaana tusubiri zaidi na zaidi kwenye bajeti zijazo?

Unyonge Na umasikini siyo sifa nzuri bali upum..bavu WA kujitakia. A man is responsible for his own development, his family and nation acheni kukumbatia umasikini.
 
Nimetumia nusu saa kufikiri ntarudii nipo busy na tafuta ada ya dogo amekosa shule advance na vigezo anavyo et shule zimejaa
 
Maskini na wanyonge full maumivu,hospital za serikali kila kitu unalipa file,vipimo kumuona dokta,madawa na kulazwa
Hivi hao wanyonge wanasaidiwaje?
tunawaona wagonjwa hadi wa ukimwi wanazuiwa kutoka muhimbili kwa kuwa hawajalipwa bills zao sasa hatujui ni nani anaelegwa kama ni masikini sijui ni yupi,nimemuona mama mmoja itv anaomba msaada wa kulipiwa laki 6 ili mgonjwa wake aweze kuruhusiwa kutoka hospitali,alipoulizwa anasumbuliwa na nini ansema alikuwa na kansa ya koo na pia ni muadhirika.je hao si wanyonge?
 
Juzi nilinunua nyama opposite na soko la Ndizi, Mabibo kg @Tzs. 5500. Awali mwezi Februari nilinunua butcher hiyohiyo kwa bei ya kg@Tzs. 8000
 
Nimetumia nusu saa kufikiri ntarudii nipo busy na tafuta ada ya dogo amekosa shule advance na vigezo anavyo et shule zimejaa
Vigezo: alifaulu daraja gani na combination gani?
 
Kwa hapa Dar es Salaam siku hizi ninasafiri kutoka Kimara mwisho hadi Feri kununua samaki kwa Tzs. 650, nikisafiri kwa dk 40 tu (muda wa juu). Zamani nilitummia Tzs. 1000, nikitumia muda wa dk 180 (masaa 3).
 

Du mkuu hii ni kweli mbona wengine hatuoni hayo Zaidi ya hilo la umeme lakini karaha za maofisini ni zile zile hakuna afadhali kabisa!!! Hospitali gani hiyo umeenda wewe...?
 
Tuambie Kwanza wewe umefanya nini kuisaidia serikali yako ifikie Malengo yake.!
 
CBG three ya 24 ....
CBG ziko shule chache sana, Ni wanafunzi wachache tu wanaochaguliwa kusomea combination subjects hizi. Hata shule za binafsi ni hivyo. Shule ni chache na wanachagua wanafunzi waliofaulu Div. 1 na kwa uhache sana 2 pekee. Jaribu Marian Boys au St. Joseph Cathedral.
 
JPM Kasaidia Sana Ila Wanafiki Wachache Wanapiga Tu Kelele. Nampongeza Sana.
 
Mpaka Sasa Nampongeza Sana JPM Karudisha Heshima Kwa Na Tumaini Kwa Watz.
Wanasiasa Wamekuwa Wanafiki Coz Of Pesa, Wanatengeneza Figisu Tuendelee Kuumizwa.
Piga Kazi JPM.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…