iparamasa
JF-Expert Member
- Nov 14, 2013
- 13,438
- 14,916
- Thread starter
- #61
Naona hata JF wale jamaa wana majibu kama haya,wao hawadili na ishu,wanadili na watu.Mkuu, Sikia majibu watakayokuambia
1) Bora sasa tunapanda wote daladala
2) Bora sasa tunasugua wote na tunapata wote msoto uswahilini
3) Bora sasa wote tunaenda shule kwa miguu hakuna tena school bus
4) Idd tulisotea wote pilau bila mbwembwe
5) Mwisho wanakwambia heshima imerudi mtaani na wanamalizia HAPA KAZI TU!
Hayo ndo wanayojivunia kwenye huu utawala hao majobless!!
Hapo ndipo wanapowadanganya watanzania.Watanzania hawahoji tena mambo ya msingi,wanasubiri mkubwa fulani kamfukuza mwenzie,akirudi nyumbani hana chochote kabakiza stork tu kwa Mke NA wanae wanaopiga miayo.