Jiwe_Tanzania
JF-Expert Member
- Jun 26, 2018
- 419
- 814
Hata wana ccm wanalia kimyakimya sasa hv. TBC wanakwambia unaweza kufuatilia zoezi la uapishwaji kupitia INSTAGRAM, FACEBOOK, TWITTER na YOUTUBE.Mbona Wabongo wengi wanalamba makalio ya CCM wakati CCM inawadharau hivi?
Chini ya dikteta ambaye ana bunge, mahakama, vitengo vya usalama na mihimili yote mfukoni mwake. Hahaha! 

