Magonjwa Mtambuka
JF-Expert Member
- Aug 2, 2016
- 29,667
- 26,119
Hata wanawake afadhali.Mnalalamika sana...kama wanawake
Hata wanawake afadhali.Mnalalamika sana...kama wanawake
Sasa unataka serikali ikupikie Ugali??fanya kazi,, acha kulalamika lalamika, sasa wewe unashinda siku nzima humu JF, untegemea nini?watu wana njaa.....lakini badala yake wanaletewa barua za ms.gwa,hivi hizi barua zinaliwa?
Unataka nani akusongee ugali? We kaa hapo hapo na hilo linjaa lako....WATU TUNANJAA TUNATAKA UGALI MEZANI
OVA
Tatizo nyinyi watoto wa Lumumba akili hamna.Unataka nani akusongee ugali? We kaa hapo hapo na hilo linjaa lako.
Kama nyie vidume tukinukisheni sio mnakaa ndani kwenye keybodi zenu. Tuingie kitaa tukinukishe kwanza tumfukuze Lowasa kwa sababu ni muoga tunataka watu ambao sio waoga tukakinukishe.
Kama unafikiri mimi ni mtoto kalagabaho.Tatizo nyinyi watoto wa Lumumba akili hamna.
Mnapenda kusifiwa ujinga tu. Endeleen na siasa zenu za maji taka hizo na bao la mkono.
Mpe salamu Jecha
Alizoea akitumbua watu wanashangilia mwisho wa siku amesahau DJ kama anacheza record hiyo hiyo atakujashituka watu wote wametoka dancing floorsasa wananchi wanataka ugali mezani,wanataka serikali iboreshe hali zao kiuchumi,hali ni mbaya.
Badala yake tunasikia huyu katumbuliwa,mara sijui katenguliwa na mengine kama hayo.
watanzania wamechoka na hayo,kubwa wanalohitaji uchumi ukarabatiwe haraka sana.
sasa hivi hata akitumbuliwa malaika mkuu au kwaya ya mbinguni,huwezi kushangiliwa......shida ya nchi yetu ni uchumi
Kama umechoka hamia nchi ambayo ina rais wa kugawa fedhasasa wananchi wanataka ugali mezani,wanataka serikali iboreshe hali zao kiuchumi,hali ni mbaya.
Badala yake tunasikia huyu katumbuliwa,mara sijui katenguliwa na mengine kama hayo.
watanzania wamechoka na hayo,kubwa wanalohitaji uchumi ukarabatiwe haraka sana.
sasa hivi hata akitumbuliwa malaika mkuu au kwaya ya mbinguni,huwezi kushangiliwa......shida ya nchi yetu ni uchumi
Ha ha ha ha haKama unafikiri mimi ni mtoto kalagabaho.
Nyie watoto wa Lumumba huo unga wa ndere mnaopewa umewaharibu sana.Kama umechoka hamia nchi ambayo ina rais wa kugawa fedha
Unatakaje, washangilie na kusifu maisha magumu? Ili iweje?Mnalalamika sana...kama wanawake
Million 50 zilizoahidiwa kwa kila kijiji, ziko wapi?Kama umechoka hamia nchi ambayo ina rais wa kugawa fedha
sasa wananchi wanataka ugali mezani,wanataka serikali iboreshe hali zao kiuchumi,hali ni mbaya.
Badala yake tunasikia huyu katumbuliwa,mara sijui katenguliwa na mengine kama hayo.
watanzania wamechoka na hayo,kubwa wanalohitaji uchumi ukarabatiwe haraka sana.
sasa hivi hata akitumbuliwa malaika mkuu au kwaya ya mbinguni,huwezi kushangiliwa......shida ya nchi yetu ni uchumi
Ndilo pekee analowezasasa wananchi wanataka ugali mezani,wanataka serikali iboreshe hali zao kiuchumi,hali ni mbaya.
Badala yake tunasikia huyu katumbuliwa,mara sijui katenguliwa na mengine kama hayo.
watanzania wamechoka na hayo,kubwa wanalohitaji uchumi ukarabatiwe haraka sana.
sasa hivi hata akitumbuliwa malaika mkuu au kwaya ya mbinguni,huwezi kushangiliwa......shida ya nchi yetu ni uchumi
Serikali haipeleki ugali mezanisasa wananchi wanataka ugali mezani,wanataka serikali iboreshe hali zao kiuchumi,hali ni mbaya.
Badala yake tunasikia huyu katumbuliwa,mara sijui katenguliwa na mengine kama hayo.
watanzania wamechoka na hayo,kubwa wanalohitaji uchumi ukarabatiwe haraka sana.
sasa hivi hata akitumbuliwa malaika mkuu au kwaya ya mbinguni,huwezi kushangiliwa......shida ya nchi yetu ni uchumi