Serikali haijawahi kuniletea ugali hata siku moja. Acheni uzembe wa kufikiri.Najua watoto wa Lumumba wakikuta nyuzi km hiz lazima povu liwatoke.
Mnapenda kusifiwa ujinga tu. Wananchi wanataka ugali na siyo siasa zenu za maji taka hizo.
Wapambane kama wananchi wengine au wapinge sera za serikali wanazodhani zinachangia ugumu wa maisha yao na siyo kulalama wanataka ugali. THINK.Unatakaje, washangilie na kusifu maisha magumu? Ili iweje?
Kama wale walioozewa nyanya?Wapambane kama wananchi wengine au wapinge sera za serikali wanazodhani zinachangia ugumu wa maisha yao na siyo kulalama wanataka ugali. THINK.
Kazi gani wakati ofisi yng ya kimara imebomolewa na vitu vikiwa ndani,chini ya uangalizi wa polisi?Unayo kazi unipe?Sasa unataka serikali ikupikie Ugali??fanya kazi,, acha kulalamika lalamika, sasa wewe unashinda siku nzima humu JF, untegemea nini?
Serikali haijawahi kuniletea ugali hata siku moja. Acheni uzembe wa kufikiri.
We nyoko kweli eti aendelee kuwanyoosha,usizuge watu nimekuona juzi unanuka jashowe bila shaka utakuwa mpiga dili, kwa maana makele yote yanatoka kwao, hongera MAGUFULI KWA KUZUIA DILI HARAMU, ENDELEA KUWANYOOSHA WATAZOEA TU KUISHI KIHALALI KAMA WENGINE WANAVYOISHI