KakaJambazi
JF-Expert Member
- Jun 5, 2009
- 18,830
- 12,292
Gerald Hando naye akairusha ivo ivo bila kuigoogle.
Anyway ibawezekana wasingesema ivo isingekua hot news.
Anyway ibawezekana wasingesema ivo isingekua hot news.
..hahahahahahaha..ulikimbia kama Maria Mutola kwenye Olympicok nasubiri.......bebii nilikimbia mpaka kila mtu alishangaa........wakajiuliza yule ni mtu au rocket......acha kabisa bebii.........
Duh, weee jamaa ni mvivu sijapata kuona, yaani unasema mwenye taarifa zaidi akujuze ilihali taarifa yote ipo kwenye thread? Watanzania bwana?Nmesikia clouds asubuh,ni mapacha wawil wanasoma havard,moja anasma engerniarin' na mwngne medicin habari nmeiskia kwa juu juu tu.mwenye mengne zaid atujuze.
Mkuu inawezekana kwa ungo, si ni wabongo!?? ungo una extra super sonic speed. In a fraction of a second Mars hii afu mnarudi mnaenda Loliondo then mnamtembelea Jk........, it takes a deadman's brains to take this news as true
Hakuna binadamu yeyote aliyefika Mars hadi sasa, achilia mbali mtanzania!Watanzania wafika Sayari ya Mars...
He! he! he! ... Mkuu sabasita usinishambulie mimistory by dotworld...hehehe
Juzijuzi nilikuwa naangalia Travel Channel, walikuwa wanaeleza walipofikia kwa sasa juu ya uchunguzi wa muwezekano wa maisha kwenye sayari ya Mars na wakawa wanaonyesha picha za Mars na baadhi ya Clips za huko. So far hawajaweza kupeleka binadamu huko, walituma vyombo(robots).nahisi hii habari hawa daily news wameiwekea chumvi. NASA wana mpango wa kumpeleka binadamu wa kwanza aka orbit mars in the mid 2030, sasa nashangaa kusikia hawa wamesha orbit mars.
kwenda mars ni long trip over a year sasa hawa wame go and return sijui na chombo gani.
Mnakumbuka mwaka jana chombo cha NASA kinaitwa The Rover kilivyotua mars na ilikuwa bonge la headline kuanzia kuingia kwenye atmosphere ya mars mpaka ku land. Japo si chombo cha kwanza kutua mars lakini ilikuwa moja ya headline kwakuwa ni safari ngumu hata kama chombo hakina watu.
Muungano wa ulaya wamejaribu kutuma vyombo kadhaa na vimepotea mara kadhaa wanakula hasara.
I am glad ni watanzania lakini nina mashaka na habari yote kama ni sahihi
Juzijuzi nilikuwa naangalia Travel Channel, walikuwa wanaeleza walipofikia kwa sasa juu ya uchunguzi wa muwezekano wa maisha kwenye sayari ya Mars na wakawa wanaonyesha picha za Mars na baadhi ya Clips za huko. So far hawajaweza kupeleka binadamu huko, walituma vyombo(robots).
Labda jamaa walienda kwenye space, labda karibu na Mars lakini sio kutua kwenye Mars.
Nimejaribu kuitafuta hii habari kutoka kwenye source nyingine sijaipata, naona ni TZ na mtandao mmoja wa kiafrika.
japo sijaisoma habari yenyewe ila itakuwa watanzania ila hawakai tanzania
..hahahahahahaha..ulikimbia kama Maria Mutola kwenye Olympic
AISEE SISI WABONGO NI MAMBURULA NA TUMEZOEA KUINGIZANA CHAKA
UNDERLINE THIS:
"NO MAN HAS EVER ORBITING THE PLANET MARS EVER...."
USA WANAJIANDAA KU ORBIT MARS MWAKA 2033.... SASA HAWA TUNAAMBIWA TAYARI WAME ORBIT,
KINGINE JIULIZE HAWA NI ASTRONAUTS AU NI DOCTOR NA ENGINEER (MECHANICAL??)
WABONGO TUSIPENDE KUJISHADADIA ISHU ZA UONGO, NIMESIKITIKA SANA KUSOMA HII HABARI, HAINA TOFAUTI NA ILE ILIANDIKWA NA GAZETI LA MWANANCHI KWAMBA TYSON KABADILI JINSIA.
Habari ndio hiyo, Changa La Macho!!!
Nmesikia clouds asubuh,ni mapacha wawil wanasoma havard,moja anasma engerniarin' na mwngne medicin habari nmeiskia kwa juu juu tu.mwenye mengne zaid atujuze.
Nimevisit nimeikuta hii:
![]()
There must be some missing plugins in your browser, mimi mbona naona?mbona hujaweka kitu mkuu .. umekuta nini ???