mansakankanmusa
JF-Expert Member
- Sep 30, 2010
- 4,161
- 801
Rfa nilianza kuitumia miaka mingi kidogo, siku za hivi karibini nimekuwa nikikerwa sana, najiandaa na hata nabeba devices za kusikilizia nakuta wanakata eti mawasiliano.
Hivi mnatumia simu zipi nyie kuongea magazeti? Mnaniboa sana. Mara nyingi inatosha sasa. This is crazy!
Hivi mnatumia simu zipi nyie kuongea magazeti? Mnaniboa sana. Mara nyingi inatosha sasa. This is crazy!