Watanzania tusichezewe akili na wageni

Watanzania tusichezewe akili na wageni

kahtaan

JF-Expert Member
Joined
Jul 11, 2009
Posts
19,156
Reaction score
11,608
Wana jamvi.

MaJuzi mmesikia USA waki conderm majanga yaliotokea ktk nchi yetu nzuri. Na E.U kuzuia msaada wao wa 180 million Dollars kwa kisingizo hicho hicho.

Juzi Balozi wa USA nchini amesaini mikataba mikubwa mitatu ya makampuni ya MAREKANI kuwekeza Hapa Nchini.

Sasa wale ambao wanadhani wanaweza kufanya wanachotaka kwa kudhani Wakoloni watawasapoti kwa mfano huu inatosha kabisa kufahamu kuwa wenye kuweza kuiinua Tanzania ni watanzania WENYEWE na Sio Vijana wezi waliotoka nje ya Tz walifuatana na vijana wetu wasiojitambua wala
mkoloni wala nchi yyt ya Nje.

Watu wasitumiwe na wenye nia mbaya na nchi yetu kuiharibu na kuturudisha miaka 100 nyuma.
Hakuna chama chochote kisicho na kasoro. Na tunakubali wote kuwa bado Tanzania kuna mafisadi na mapungufu mengi mno. Lkn insiwe sababu ya kuiharibu nchi hii.
Wengi wetu tumeona maafa ya kuruhusu WAHUNI kuwalisha kero za wananchi mitaani .

Wale majambazi wameua askari na kuvunja na kuiba mali za watanzania. Matokea yake askari wamerudisha mashambulizi na kusababisha wasio husika kupoteza maisha.!
Nawaita majambazi sababu hakuna maandamano yanayovunja DUKA LA MTU na kuchoma gari ya mtu na nyumba za wananchi wanyonge au kulenga MIUNDO MBINU INAYO WASAIDIA WANANCHI kisha ukawaita hao wakombozi.
Hao wataitwa MAJAMBAZI mpk siku ya mwisho

Tutulize vichwa tutafakari kipi cha kufanya ili kero za vijana vifanyiwe kazi.

LIBYA walisema Gaddafi ni Dictator wakamuua.

IRAQ walisema SADAM ni Dictator wakamuua.

Leo nani anataka kwenda LIBYA au IRAQ?

WAZUNGU wameitamani hii nchi miaka mingi sana na wanamiminika kuwekeza huku wakidanganya watanzania kuwa wanajali .

Tusipo amka sasa. Kinachokuja mbele hatutopata wa kumlaumu ispokuwa Sisi wenyewe.

Na yeyote atakaejifanya ANA KIBURI au kudhani Tanzania ni BANANA REPUBLIC kwamba unaweza kuingia mitaani na kuvunja na kuua ASKARI na kuchoma unachotaka atakuwa amejitakia full force ya DOLA KUMUANGUKIA.

Sasa kazi kwetu.
Remember. Your life is more precious than anything in this ugly world.
 
Heheheh njaa ni mbaya wajameni
Wana jamvi.

MaJuzi mmesikia USA waki conderm majanga yaliotokea ktk nchi yetu nzuri. Na E.U kuzuia msaada wao wa 180 million Dollars kwa kisingizo hicho hicho.

Juzi Balozi wa USA nchini amesaini mikataba mikubwa mitatu ya makampuni ya MAREKANI kuwekeza Hapa Nchini.

Sasa wale ambao wanadhani wanaweza kufanya wanachotaka kwa kudhani Wakoloni watawasapoti kwa mfano huu inatosha kabisa kufahamu kuwa wenye kuweza kuiinua Tanzania ni watanzania WENYEWE na Sio Vijana wezi waliotoka nje ya Tz walifuatana na vijana wetu wasiojitambua wala
mkoloni wala nchi yyt ya Nje.

Watu wasitumiwe na wenye nia mbaya na nchi yetu kuiharibu na kuturudisha miaka 100 nyuma.
Hakuna chama chochote kisicho na kasoro. Na tunakubali wote kuwa bado Tanzania kuna mafisadi na mapungufu mengi mno. Lkn insiwe sababu ya kuiharibu nchi hii.
Wengi wetu tumeona maafa ya kuruhusu WAHUNI kuwalisha kero za wananchi mitaani .

Wale majambazi wameua askari na kuvunja na kuiba mali za watanzania. Matokea yake askari wamerudisha mashambulizi na kusababisha wasio husika kupoteza maisha.!
Nawaita majambazi sababu hakuna maandamano yanayovunja DUKA LA MTU na kuchoma gari ya mtu na nyumba za wananchi wanyonge au kulenga MIUNDO MBINU INAYO WASAIDIA WANANCHI kisha ukawaita hao wakombozi.
Hao wataitwa MAJAMBAZI mpk siku ya mwisho

Tutulize vichwa tutafakari kipi cha kufanya ili kero za vijana vifanyiwe kazi.

LIBYA walisema Gaddafi ni Dictator wakamuua.

IRAQ walisema SADAM ni Dictator wakamuua.

Leo nani anataka kwenda LIBYA au IRAQ?

WAZUNGU wameitamani hii nchi miaka mingi sana na wanamiminika kuwekeza huku wakidanganya watanzania kuwa wanajali .

Tusipo amka sasa. Kinachokuja mbele hatutopata wa kumlaumu ispokuwa Sisi wenyewe.

Na yeyote atakaejifanya ANA KIBURI au kudhani Tanzania ni BANANA REPUBLIC kwamba unaweza kuingia mitaani na kuvunja na kuua ASKARI na kuchoma unachotaka atakuwa amejitakia full force ya DOLA KUMUANGUKIA.

Sasa kazi kwetu.
Remember. Your life is more precious than anything in this ugly world.
 
Wageni ndiyo wanaoteka watu wetu?
Wageni ndiyo waliua ndugu zetu kuanzia Nov 29?
Wageni ndiyo walipita Hosp kuwatoa walio hai kuwapeleka monchwali?
Wageni walienda kuzika ndugu zetu kwenye kabuli la pamoja?
Wageni ndiyo walipora mchakato mzima wa uchaguzi?
Wageni ndiyo wanaambiwa tangu 1994 kuwa Katiba tuliyonayo ni hatari kwa ustawi wa nchi, italeta mpasuko tufanyie mabadiliko wao hawataki!

Au unazungumzia wageni gani?
 
Kati ya nchi 50 duniani zenye rasilimali kubwa za madini ya Uranium Tanzania haipo.

Botswana ni moja ya nchi duniani zinazoongoza kwa almasi lakini hakujawahi kuwa na machafuko na ni moja ya nchi zinazosifika kwa demokrasia na hata raisi wao Festus Mogae ameshawahi pata nishani ya utawala bora ya Mo Ibrahim.

Kikwetu kuna msemo unasema mtu akiwa anacheza ngoma akishindwa kucheza anasingizia nyumba inafuka moshi.

Haiingii akili mtu atoke nchi nyingine kisha eti kwenda kuandamana nchi nyingine lugha ya mtaani ni utopolo.

Machafuko japo hayakuwa nchi nzima ila sehemu kadhaa nyingi Tanzania je hao wageni walipitia wapi?.Tukiweka hiki kisingizio tunajiaibisha kuwa kumbe kuingia Tanzania ni rahisi sana hakuna jeshi la uhamiaji kama ni hivyo kwanini mkuu wa uhamiaji hajawajibishwa?.

Ni ukweli ulio wazi lawama hizi tuzibebe watanzania wote ni aibu haijawahi kutokea toka tupate uhuru tumeweka doa la lami kwenye kitambaa cheupe ambalo tunahitaji nguvu kubwa kulifuta.Na kitambaa hakitakaa kiwe cheupe.

Vijana hawakuwa na sababu ya kuandamana kwa madai kupinga uchaguzi huku wanavunja maduka ya watu na kuchoma magari ya watu.Utasemaje unakomboa nchi huku unavunja duka la mtu na kukwapua simu?.Kuna clip moja ilitoka ya watani zetu wa Kenya wanasema Gen-Z wa Tanzania shida ni masomo.Ukiharibu miundo mbinu utaharibu ajira za wenzio na hata wewe utapata madhara mfano ukosefu wa usafiri.

Siungi mkono mauaji ila unategemea askari achukue hatua gani akizidiwa unataka akae kizembe na rungu kama korokoroni umuue?.Ila hapa kinachoniuma zaidi baadhi ya waliokufa ni innocent kabisa.Kichaa asiyejua hili na lile anakutana na risasi na hajui kinachoendelea.Mama mtoto anaumbwa kasema ngoja nikamnunulie mtoto dawa anakutana na risasi.Mtu yuko kituoni alfajire anasubiri basi aende kazini anakutana na risasi.Anyway majanga bahati mbaya yakitokea hayachagui.

Tusijaribu kuweka visingizio watawala nao waangalie chanzo cha yote ni nini ni wapi walipokosea hili ni jeraha la muda mrefu sasa likaanza kutoa damu.

Pia watawala wajue Tanzania ya sasa sio ile ya zidumu fikra sahihi za mwenyekiti.Radio ni RTD,gazeti ni Uhuru na Mzalendo.Ukijiona wewe kingereza kinapanda Daily news na sunday news.
Vijana wa sasa wako mbele ya wakati hawadanganyiki hawajui redio wala kusoma gazeti,hawajui kuandika barua ya kuomba kazi ila ni kitu inaitwa online.Wakizidiwa kufikiri wanatumie akili Mnemba au AI

Vijana wa sasa hawakuwahi ona Nyerere akitawala ila nasaha zake za hekima wanaziona.
Vijana wa sasa hawajui neno kidumu chama flani twende na wakati.

Tukae chini tuweka maridhiano lisitokee jambo kama hili.Tumeingia aibu kubwa mno mno MUNGU atunusuru.
 
Wana jamvi.

MaJuzi mmesikia USA waki conderm majanga yaliotokea ktk nchi yetu nzuri. Na E.U kuzuia msaada wao wa 180 million Dollars kwa kisingizo hicho hicho.

Juzi Balozi wa USA nchini amesaini mikataba mikubwa mitatu ya makampuni ya MAREKANI kuwekeza Hapa Nchini.

Sasa wale ambao wanadhani wanaweza kufanya wanachotaka kwa kudhani Wakoloni watawasapoti kwa mfano huu inatosha kabisa kufahamu kuwa wenye kuweza kuiinua Tanzania ni watanzania WENYEWE na Sio Vijana wezi waliotoka nje ya Tz walifuatana na vijana wetu wasiojitambua wala
mkoloni wala nchi yyt ya Nje.

Watu wasitumiwe na wenye nia mbaya na nchi yetu kuiharibu na kuturudisha miaka 100 nyuma.
Hakuna chama chochote kisicho na kasoro. Na tunakubali wote kuwa bado Tanzania kuna mafisadi na mapungufu mengi mno. Lkn insiwe sababu ya kuiharibu nchi hii.
Wengi wetu tumeona maafa ya kuruhusu WAHUNI kuwalisha kero za wananchi mitaani .

Wale majambazi wameua askari na kuvunja na kuiba mali za watanzania. Matokea yake askari wamerudisha mashambulizi na kusababisha wasio husika kupoteza maisha.!
Nawaita majambazi sababu hakuna maandamano yanayovunja DUKA LA MTU na kuchoma gari ya mtu na nyumba za wananchi wanyonge au kulenga MIUNDO MBINU INAYO WASAIDIA WANANCHI kisha ukawaita hao wakombozi.
Hao wataitwa MAJAMBAZI mpk siku ya mwisho

Tutulize vichwa tutafakari kipi cha kufanya ili kero za vijana vifanyiwe kazi.

LIBYA walisema Gaddafi ni Dictator wakamuua.

IRAQ walisema SADAM ni Dictator wakamuua.

Leo nani anataka kwenda LIBYA au IRAQ?

WAZUNGU wameitamani hii nchi miaka mingi sana na wanamiminika kuwekeza huku wakidanganya watanzania kuwa wanajali .

Tusipo amka sasa. Kinachokuja mbele hatutopata wa kumlaumu ispokuwa Sisi wenyewe.

Na yeyote atakaejifanya ANA KIBURI au kudhani Tanzania ni BANANA REPUBLIC kwamba unaweza kuingia mitaani na kuvunja na kuua ASKARI na kuchoma unachotaka atakuwa amejitakia full force ya DOLA KUMUANGUKIA.

Sasa kazi kwetu.
Remember. Your life is more precious than anything in this ugly world.
Takataka. Mbona wakiwapo misaada hamsemi wanawayumbisha au ni sizitaki hizi mbichi.
 
Wewe gaidi mwenye laana ya kuinamishwa bado tu hujaacha 😁

1. Kahtaan (shetani) tunafahamu umeolewa hapo Kinondoni japo kila siku unavaa kanzu na kujifanya sheikh.

2. Maza ako analalamika umekuwa mzee lakini bado huachi tabia za laana.

3. Sasa hii wikiendi inayokuja tumeamua tunakuja kukukamata tukurudishe nyumbani.

Mzee unalaana wewe.
 
Acheni kuteka watu 📌
Tendeni haki 📌
Wasikilizeni wananchi 📌
Punguzeni ufisadi 📌
Ruhusuni katiba mpya 📌
Inueni uchumi wa watu wengi 📌
Ruhusuni tume huru ya uchaguzi 📌
Shughulikeni na ajira kwa vijana 📌
Punguzeni nepotism 📌


Kutoyazingatia haya machache kutazidi kuchochea moto mioyoni mwa watu. Na nchi haitakuwa salama. Kunaweza kuwa na utulivu lakini kusiwe na amani. Ni kama kuwa na bomu chini ya kitanda chako!

Kwa sasa mnaweza kufurahi na kupongezana kuwa mmefanikiwa kuzuia maandamano tena kwa gharama kubwa ya ku-mobilize jeshi utafikiri nchi imo vitani lakini wananchi mnaowaongoza wana hasira na visasi. Na huwezi kutawala watu ambao hawakukuchagua na hawakutaki. Wengi walishajaribu wakashindwa na hawakuwa na mwisho mwema.

Samia atajaribu kutawala kwa kutumia mitutu ya bunduki, kuteka na kuua watu lakini hataweza na, kama historia ni mwalimu sahihi, hatakuwa na mwisho mzuri. Na ataishia katika pipa la takataka la historia kama kiongozi katili, muuaji, fisadi na asiyejali.

Anajua hakuchaguliwa na wananchi. Anajua hakupata kura milioni 32. Anajua hakushinda kwa 98%. Anajua uchaguzi ulivurugika. Anajua alijiapisha kimagumashi. Anajua siyo rais halali. Anajua anaongoza serikali haramu. Basi angalau ajaribu kutenda haki ili ajikongoje na hii miaka mitano yake ambayo itakuwa mirefu na ya mateso sana kwake hasa akiendelea na huu udikteta wake.

Mungu Aendelee kuibariki nchi yetu hii nzuri yenye kila kitu lakini inaharibiwa na wanasiasa wasio na maono, walafi, wauaji, mafisadi na wasiojali! 🙏🏿🙏🏿🙏🏿🙏🏿

IMG-20251209-WA0008.jpg
 
Wana jamvi.

MaJuzi mmesikia USA waki conderm majanga yaliotokea ktk nchi yetu nzuri. Na E.U kuzuia msaada wao wa 180 million Dollars kwa kisingizo hicho hicho.

Juzi Balozi wa USA nchini amesaini mikataba mikubwa mitatu ya makampuni ya MAREKANI kuwekeza Hapa Nchini.

Sasa wale ambao wanadhani wanaweza kufanya wanachotaka kwa kudhani Wakoloni watawasapoti kwa mfano huu inatosha kabisa kufahamu kuwa wenye kuweza kuiinua Tanzania ni watanzania WENYEWE na Sio Vijana wezi waliotoka nje ya Tz walifuatana na vijana wetu wasiojitambua wala
mkoloni wala nchi yyt ya Nje.

Watu wasitumiwe na wenye nia mbaya na nchi yetu kuiharibu na kuturudisha miaka 100 nyuma.
Hakuna chama chochote kisicho na kasoro. Na tunakubali wote kuwa bado Tanzania kuna mafisadi na mapungufu mengi mno. Lkn insiwe sababu ya kuiharibu nchi hii.
Wengi wetu tumeona maafa ya kuruhusu WAHUNI kuwalisha kero za wananchi mitaani .

Wale majambazi wameua askari na kuvunja na kuiba mali za watanzania. Matokea yake askari wamerudisha mashambulizi na kusababisha wasio husika kupoteza maisha.!
Nawaita majambazi sababu hakuna maandamano yanayovunja DUKA LA MTU na kuchoma gari ya mtu na nyumba za wananchi wanyonge au kulenga MIUNDO MBINU INAYO WASAIDIA WANANCHI kisha ukawaita hao wakombozi.
Hao wataitwa MAJAMBAZI mpk siku ya mwisho

Tutulize vichwa tutafakari kipi cha kufanya ili kero za vijana vifanyiwe kazi.

LIBYA walisema Gaddafi ni Dictator wakamuua.

IRAQ walisema SADAM ni Dictator wakamuua.

Leo nani anataka kwenda LIBYA au IRAQ?

WAZUNGU wameitamani hii nchi miaka mingi sana na wanamiminika kuwekeza huku wakidanganya watanzania kuwa wanajali .

Tusipo amka sasa. Kinachokuja mbele hatutopata wa kumlaumu ispokuwa Sisi wenyewe.

Na yeyote atakaejifanya ANA KIBURI au kudhani Tanzania ni BANANA REPUBLIC kwamba unaweza kuingia mitaani na kuvunja na kuua ASKARI na kuchoma unachotaka atakuwa amejitakia full force ya DOLA KUMUANGUKIA.

Sasa kazi kwetu.
Remember. Your life is more precious than anything in this ugly world.
Wezi wa mali za Tanganyika:
-Samia Suluhu Hassan
-Jakaya Mrisho Kikwete
-Mwigulu Mchemba
-Ridhiwani Kikwete
-Abdul(mtoto wa Samia)
-Rostam Aziz
-Makampuni yote ambayo yako affiliated na wanasiasa.
-DP World
-
-
-
-
Shameless chawa na UVCCM mnatumika vibaya sana na hao mafisadi wahujumu uchumi wanaoiba na kuharibu uchumi wa Tanganyika.
 
Acheni kuteka watu 📌
Tendeni haki 📌
Wasikilizeni wananchi 📌
Punguzeni ufisadi 📌
Ruhusuni katiba mpya 📌
Inueni uchumi wa watu wengi 📌
Ruhusuni tume huru ya uchaguzi 📌
Shughulikeni na ajira kwa vijana 📌
Punguzeni nepotism 📌


Kutoyazingatia haya machache kutazidi kuchochea moto mioyoni mwa watu. Na nchi haitakuwa salama. Kunaweza kuwa na utulivu lakini kusiwe na amani. Ni kama kuwa na bomu chini ya kitanda chako!

Kwa sasa mnaweza kufurahi na kupongezana kuwa mmefanikiwa kuzuia maandamano tena kwa gharama kubwa ya ku-mobilize jeshi utafikiri nchi imo vitani lakini wananchi mnaowaongoza wana hasira na visasi. Na huwezi kutawala watu ambao hawakukuchagua na hawakutaki. Wengi walishajaribu wakashindwa na hawakuwa na mwisho mwema.

Samia atajaribu kutawala kwa kutumia mitutu ya bunduki, kuteka na kuua watu lakini hataweza na, kama historia ni mwalimu sahihi, hatakuwa na mwisho mzuri. Na ataishia katika pipa la takataka la historia kama kiongozi katili, muuaji, fisadi na asiyejali.

Anajua hakuchaguliwa na wananchi. Anajua hakupata kura milioni 32. Anajua hakushinda kwa 98%. Anajua uchaguzi ulivurugika. Anajua alijiapisha kimagumashi. Anajua siyo rais halali. Anajua anaongoza serikali haramu. Basi angalau ajaribu kutenda haki ili ajikongoje na hii miaka mitano yake ambayo itakuwa mirefu na ya mateso sana kwake hasa akiendelea na huu udikteta wake.

Mungu Aendelee kuibariki nchi yetu hii nzuri yenye kila kitu lakini inaharibiwa na wanasiasa wasio na maono, walafi, wauaji, mafisadi na wasiojali! 🙏🏿🙏🏿🙏🏿🙏🏿

View attachment 3513735
Umenena point muhimu sana.
Na naunga mkono hoja yako
 
Takataka. Mbona wakiwapo misaada hamsemi wanawayumbisha au ni sizitaki hizi mbichi.
We kwa ufahamu wako mzungu anatoa msaada bure? Au basi tu umeamua kuandika sababu JF ni bure?
Mi nadhani Jf wakiweka fee kwa kila mstari unaondika wengi humu mtashikisha sana fikra kabla ya jazba.
Mzungu hana shida na mtu mweusi km mimj na wewe . Anataka mali yako tu hakuna kitu kinaitwa Msaada Kutoka kwa mkoloni.
 
We kwa ufahamu wako mzungu anatoa msaada bure? Au basi tu umeamua kuandika sababu JF ni bure?
Mi nadhani Jf wakiweka fee kwa kila mstari unaondika wengi humu mtashikisha sana fikra kabla ya jazba.
Mzungu hana shida na mtu mweusi km mimj na wewe . Anataka mali yako tu hakuna kitu kinaitwa Msaada Kutoka kwa mkoloni.
Wewe gaidi mwenye sigda, hebu tuambie unatumia akili gani kufikiria?

Yaani wewe mlamba matako na gaidi mpumbavu unataka watu wasikilize uharo wako?

Bichwa lako lina akili wewe?
 
Heheheh njaa ni mbaya wajameni
Tena saana.
Ndio maana juu ya serikali kukataza watu wasiingie mjini kufanya wizi wanywa viroba wenye njaa hawakujali. Matokeo yake wamekula vyuma hatari.
Na kuponza wale wasio husika maskini wanyonge.

Mungu awalaani wezi na majambazi waliotaka kuangamiza taifa letu .
Na pongezi zote kwa majeshi yote ya ulinzi na usalama Tanzania kwa kudhibiti vibaka.
Ndo maana vibaka wote walibaki nyuma ya simu wakisakiziana nani atangulie .
cheza na cha moto wewe🤣🤣.
Hata njaa huwa inapotea
Mpk wale wachizi wa town jana hawakuonekana
 
Back
Top Bottom