PauloKichaa
Senior Member
- Jun 6, 2011
- 124
- 40
Ukiangalia yanayoendelea utagundua tatizo la hii nchi ni kutokuwa na dira shirikishi ya pamoja ambayo inatoa mwelekeo wa nchi na wananchi wakaelewa na hii ndio maana kila anayeingia tutamshangilia hasa anapoenda kinyume na mtangulizi wake halafu baada ya muda mbele tunaanza kumkumbuka mtangulizi.
Nadhani sasa ni wakati wa viongozi wetu kutuweka sawa katika hili kama nchi ielewe kama ni miradi ya kimkakati ya miundo mbinu inatakiwa kutekelezwa kwa miaka 10 ijayo ijuilikane na wanaokuja regardless ya chama watekeleze ilani zibakie kuchochea ukuaji wa uchumi.
Vinginevyo kila baada ya uchaguzi tutashangilia halafu tunaanza maumivu.
Nadhani sasa ni wakati wa viongozi wetu kutuweka sawa katika hili kama nchi ielewe kama ni miradi ya kimkakati ya miundo mbinu inatakiwa kutekelezwa kwa miaka 10 ijayo ijuilikane na wanaokuja regardless ya chama watekeleze ilani zibakie kuchochea ukuaji wa uchumi.
Vinginevyo kila baada ya uchaguzi tutashangilia halafu tunaanza maumivu.
