Watanzania Tunahitaji Reality Check

Watanzania Tunahitaji Reality Check

Hamna lolote. Watu wangeacha kwenda kwa kuogopa Corona nyinyi ndio mngekuwa wa Kwanza kuweka thread kuwa hamna watu kwasababu anachukiwa! Leo mnaona watu wamejaa kwa mpendwa wao mnaumia mnaanza kujidai mnajali sana Corona! Asilimia kubwa ya Watanzania hawavai barakoa wala social distancing hawafuati ila humu mtandaoni mnajisai mnajali sana barakoa.
 
Hamna lolote. Watu wangeacha kwenda kwa kuogopa Corona nyinyi ndio mngekuwa wa Kwanza kuweka thread kuwa hamna watu kwasababu anachukiwa! Leo mnaona watu wamejaa kwa mpendwa wao mnaumia mnaanza kujidai mnajali sana Corona! Asilimia kubwa ya Watanzania hawavai barakoa wala social distancing hawafuati ila humu mtandaoni mnajisai mnajali sana barakoa.
Kwahiyo mkuu unafikiri covid haipo?

Kweli wa Tanzania tuna safari ndefu.
 
Back
Top Bottom