Watanzania Tunahitaji Reality Check

Watanzania Tunahitaji Reality Check

Chaliifrancisco

JF-Expert Member
Joined
Jan 17, 2015
Posts
26,532
Reaction score
81,261
Katika pita pita zangu hapa JF na mitandao mingine naona watu wanashangilia sana Magufuli kuagwa kwa nyomi ya watu.

Kuna wengine wana "spam" nyuzi za wengine kwa picha za kujirudia rudia zikionyesha idadi kubwa ya watu waliojitokeza tokea jana mpaka leo katika uwanja wa Uhuru na barabarani kumuaga Hayati John Magufuli. Mfano mama D

Wengine wamefungua nyuzi kabisa kusifia mafuriko katika kumuaga Rais Magufuli. Mfano Nyani Ngabu

Shida yangu sio Hayati Magufuli kuagwa na watu wengi. Tatizo ni kuwa je bado Watanzania hatutaki kuelewa uhalisia wa hali ilivyo kuhusu janga la dunia nzima la covid-19?

Je sisi Tanzania ni nani mpaka tupuuze kwa kiasi hiki? Je hakuna watu wanaougua Corona Tanzania? Hakuna wanaokufa kwa corona?Tukificha tunamkomoa nani?

Hii mikusanyiko sio jambo la kushangilia kwa mtu yeyote anaejielewa.

Tunahitaji reality check. Tunahitaji kukumbushwa hali halisi ilivyo.
 
Tunalo tatizo kubwa.
Watanzania is as if wameshakata tamaa na maisha, nothing to worry any more.

Hii hali ujitokeza pale hata maisha yetu ya kila siku yanapokua na ganzi na stress kwa muda mrefu.

Huu ndo uhalisia wetu. Hata viongozi wetu walio zao la jamii yetu ndo wanavyowaza.

Nazani tukubali kuwa sisi ni taifa la aina yake ambao kulingana na mazingira yetu tumekubali kuwa subject of the nature.

The history will be written
 
Katika pita pita zangu hapa JF na mitandao mingine naona watu wanashangilia sana Magufuli kuagwa kwa nyomi ya watu.

Kuna wengine wana "spam" nyuzi za wengine kwa picha za kujirudia rudia zikionyesha idadi kubwa ya watu waliojitokeza tokea jana mpaka leo katika uwanja wa Uhuru na barabarani kumuaga Hayati John Magufuli. Mfano mama D

Wengine wamefungua nyuzi kabisa kusifia mafuriko katika kumuaga Rais Magufuli. Mfano Nyani Ngabu

Shida yangu sio Hayati Magufuli kuagwa na watu wengi. Tatizo ni kuwa je bado Watanzania hatutaki kuelewa uhalisia wa hali ilivyo kuhusu janga la dunia nzima la covid-19?

Je sisi Tanzania ni nani mpaka tupuuze kwa kiasi hiki? Je hakuna watu wanaougua Corona Tanzania? Hakuna wanaokufa kwa corona?Tukificha tunamkomoa nani?

Hii mikusanyiko sio jambo la kushangilia kwa mtu yeyote anaejielewa.

Tunahitaji reality check. Tunahitaji kukumbushwa hali halisi ilivyo.

Nia na madhumuni ya hii thread ni nini? Ni thread na picha za mpendwa wetu John Pombe Joseph Magufuli Leo na Mama D na Nyani Ngabu au ni covid 19

Kama nia yako ni COVID 19 acha kulalamika fanya kitu chochote kilicho ndani ya uwezo wako kutoa suluhu kwa hao watanzania unaowaongelea hapa

Na kwa msaada zaidi nikukumbushe makusanyiko ya watu bila barakoa wala sanitzer yapo nchi nzima. Labda sababu wewe na ukoo wako mnaishi ughaibuni ndio maana hujui..... ila kama una ndugu huku waulize vile wanaishi watakusaidi labda ili uweze kulisaidia taifa lako

Hii ni Kawe leo


Hii ni Mwenge leo


Kariakoo 5 months ago




Kama umeelewa utaacha uzandiki na wivu kwa marehemu

Yaani kuna watu wanaumia marehemu akiagwa hadi natamani kuwaambia na wao wafe ili tuwaage. Ila wajue tuu kwamba kuagwa kwao hakuwezi kulingana na Mwamba
Cc Nyani Ngabu
 
Katika pita pita zangu hapa JF na mitandao mingine naona watu wanashangilia sana Magufuli kuagwa kwa nyomi ya watu.

Kuna wengine wana "spam" nyuzi za wengine kwa picha za kujirudia rudia zikionyesha idadi kubwa ya watu waliojitokeza tokea jana mpaka leo katika uwanja wa Uhuru na barabarani kumuaga Hayati John Magufuli. Mfano mama D

Wengine wamefungua nyuzi kabisa kusifia mafuriko katika kumuaga Rais Magufuli. Mfano Nyani Ngabu

Shida yangu sio Hayati Magufuli kuagwa na watu wengi. Tatizo ni kuwa je bado Watanzania hatutaki kuelewa uhalisia wa hali ilivyo kuhusu janga la dunia nzima la covid-19?

Je sisi Tanzania ni nani mpaka tupuuze kwa kiasi hiki? Je hakuna watu wanaougua Corona Tanzania? Hakuna wanaokufa kwa corona?Tukificha tunamkomoa nani?

Hii mikusanyiko sio jambo la kushangilia kwa mtu yeyote anaejielewa.

Tunahitaji reality check. Tunahitaji kukumbushwa hali halisi ilivyo.
Kwa nini wewe hauko bize kuwaambia wanamchi kuhusu hiyo reality check badala yake una wivu na maiti?
 
Tanzania tunasafari ndefu eti mkusanyiko wa watu inaonyesha mtu alikuwa anapendwa kweli, pia kipindi hichi cha covid-19 huo mrundikano na ugonjwa ulivo, Mimi namwomba Samia ajikinge aanze kuvaa barakoa na ajiepushe na misongamano
Hata ikitokea ajali watu hujaaa kushangaa
Wabongo kawaida yetu kushangaa na kuja kusimulia
 
Tanzania tunasafari ndefu eti mkusanyiko wa watu inaonyesha mtu alikuwa anapendwa kweli, pia kipindi hichi cha covid-19 huo mrundikano na ugonjwa ulivo, Mimi namwomba Samia ajikinge aanze kuvaa barakoa na ajiepushe na misongamano
Mie nadhan covid kwa kila mtu inamsumbua kwa state tofauti kbs....sidhan km ikinitetemesha mm na mwingine itamtesa same..thats y wanajiachia
 
Ila kufurika kwenda kumpokea yule Wakala wa Mabeberu (Lissu) hili halina athari...
Katika pita pita zangu hapa JF na mitandao mingine naona watu wanashangilia sana Magufuli kuagwa kwa nyomi ya watu.

Kuna wengine wana "spam" nyuzi za wengine kwa picha za kujirudia rudia zikionyesha idadi kubwa ya watu waliojitokeza tokea jana mpaka leo katika uwanja wa Uhuru na barabarani kumuaga Hayati John Magufuli. Mfano mama D

Wengine wamefungua nyuzi kabisa kusifia mafuriko katika kumuaga Rais Magufuli. Mfano Nyani Ngabu

Shida yangu sio Hayati Magufuli kuagwa na watu wengi. Tatizo ni kuwa je bado Watanzania hatutaki kuelewa uhalisia wa hali ilivyo kuhusu janga la dunia nzima la covid-19?

Je sisi Tanzania ni nani mpaka tupuuze kwa kiasi hiki? Je hakuna watu wanaougua Corona Tanzania? Hakuna wanaokufa kwa corona?Tukificha tunamkomoa nani?

Hii mikusanyiko sio jambo la kushangilia kwa mtu yeyote anaejielewa.

Tunahitaji reality check. Tunahitaji kukumbushwa hali halisi ilivyo.
 
Mie nadhan covid kwa kila mtu inamsumbua kwa state tofauti kbs....sidhan km ikinitetemesha mm na mwingine itamtesa same..thats y wanajiachia
Mwenyewe covid-19 iliwahi nitesa sitakaa nisahau nikajua kufa kumbe ni rahisi hvo au usicheze na kubanwa na kifua nikawaza ningekuwa na magonjwa makubwa ka kisukari sijui pressure ningeenda na maji. All in all tuchukue tahadhari na kumwomba Mungu atulinde maana watu wazima hawachukui round
 
Mwenyewe covid-19 iliwahi nitesa sitakaa nisahau nikajua kufa kumbe ni rahisi hvo au usicheze na kubanwa na kifua nikawaza ningekuwa na magonjwa makubwa ka kisukari sijui pressure ningeenda na maji. All in all tuchukue tahadhari na kumwomba Mungu atulinde maana watu wazima hawachukui round
Pole sana...
 
Back
Top Bottom