karv
JF-Expert Member
- Dec 26, 2019
- 1,799
- 3,221
Habari ya wakati huu
Napenda kuchukua nafasi hii kuzungumzia kitu kidogo kimuonekano lakini ni kikubwa sana kwa kukifikiria kwa kina.
Kitu chenyewe ni ukweli kutoka kwa viongozi wetu, nahisi Tanzania ndio nchi pekee ambayo viongozi wetu wamezidi kutudanganya kuliko viongozi wengine.
RAIS
*Ukifuatilia hotuba yake ya kufunga mwaka akasema nchi inaakiba ya $6253B baadaye wakakanusha wakasema ni $6253M lakini Rais huyo huyo aliwahi kusema miezi 6 nyuma akiba ni $4765B je hiyo pesa imepungua au?
WAZIRI MKUU
*Huyu nae ndio kabisaaa ameshatudanganya sana kwenye mambo yafuatayo
-Hali ya Afya ya Magufuli wakati ule
-Tarehe rasmi ya reli ya kisasa kuanza kazi
-Idadi ya ajira zilizotolewa na serikali
MAWAZIRI
*Hapa ndio kabisaa nchi ina mawaziri wa hovyo na waongo kupindukia katika wizara karibu zote waongo hapa ukianza na Mwigulu Nchemba, Gwajima, Kabudi, Makamba na wengine wametudanganya mambo mengi sana
Kama:-chanjo, Tozo za miamala, mahusiano ya kimataifa na vitu kama hivyo
WABUNGE
*Hapa wale watu wa jimbo la Kawe nawasalimu kwa jina la jamuhuri. Hapo sijajua yake majimbi mengine ambayo nyie mnajua mlidanganywa nini na wabunge wenu.
WAKUU WA TAASISI NA IDARA MBALIMBALI
*Huku nako kumeoza uongo ndio unakopikwa na kuleta taswira mbaya na mkanganyiko na sintofahamu kwa wananchi.
Hapa ndio kuna mifano ya hatari na kuhuzunisha ambayo inawashangaza wengi
Ufike wakati sasa watanzania tujitambua na tukemee haya mambo kwa kuhoji bila woga na vificho kuhoji kwa njia yoyote ile ili mradi ujumbe ufike.
Bila ya uwepo wa viongozi wakweli na wawazi maendeleo tutayasikia nchi jirani tu maana ukweli huweka mtu huru.
Maendeleo hayana chama
Napenda kuchukua nafasi hii kuzungumzia kitu kidogo kimuonekano lakini ni kikubwa sana kwa kukifikiria kwa kina.
Kitu chenyewe ni ukweli kutoka kwa viongozi wetu, nahisi Tanzania ndio nchi pekee ambayo viongozi wetu wamezidi kutudanganya kuliko viongozi wengine.
RAIS
*Ukifuatilia hotuba yake ya kufunga mwaka akasema nchi inaakiba ya $6253B baadaye wakakanusha wakasema ni $6253M lakini Rais huyo huyo aliwahi kusema miezi 6 nyuma akiba ni $4765B je hiyo pesa imepungua au?
WAZIRI MKUU
*Huyu nae ndio kabisaaa ameshatudanganya sana kwenye mambo yafuatayo
-Hali ya Afya ya Magufuli wakati ule
-Tarehe rasmi ya reli ya kisasa kuanza kazi
-Idadi ya ajira zilizotolewa na serikali
MAWAZIRI
*Hapa ndio kabisaa nchi ina mawaziri wa hovyo na waongo kupindukia katika wizara karibu zote waongo hapa ukianza na Mwigulu Nchemba, Gwajima, Kabudi, Makamba na wengine wametudanganya mambo mengi sana
Kama:-chanjo, Tozo za miamala, mahusiano ya kimataifa na vitu kama hivyo
WABUNGE
*Hapa wale watu wa jimbo la Kawe nawasalimu kwa jina la jamuhuri. Hapo sijajua yake majimbi mengine ambayo nyie mnajua mlidanganywa nini na wabunge wenu.
WAKUU WA TAASISI NA IDARA MBALIMBALI
*Huku nako kumeoza uongo ndio unakopikwa na kuleta taswira mbaya na mkanganyiko na sintofahamu kwa wananchi.
Hapa ndio kuna mifano ya hatari na kuhuzunisha ambayo inawashangaza wengi
Ufike wakati sasa watanzania tujitambua na tukemee haya mambo kwa kuhoji bila woga na vificho kuhoji kwa njia yoyote ile ili mradi ujumbe ufike.
Bila ya uwepo wa viongozi wakweli na wawazi maendeleo tutayasikia nchi jirani tu maana ukweli huweka mtu huru.
Maendeleo hayana chama