Bujibuji Simba Nyamaume
JF-Expert Member
- Feb 4, 2009
- 76,579
- 161,433
Gongo la Mboto eti mwizi kang'atwa Na nyuki.
Ukiitazama hiyo picha nyuki hawamuumi mwizi Ila wamemsambaa usoni.
Bee sting Ina sumu Kali, nyuki wakikung'ata lazima uvimbe.
Sumu/ mwiba wa nyuki ni kifo.
Pichani ni mtu aliye warundika nyuki mwilini kama aluvyofanya tapeli wa Gongo la Mboto
Ukiitazama hiyo picha nyuki hawamuumi mwizi Ila wamemsambaa usoni.
Bee sting Ina sumu Kali, nyuki wakikung'ata lazima uvimbe.
Sumu/ mwiba wa nyuki ni kifo.
Pichani ni mtu aliye warundika nyuki mwilini kama aluvyofanya tapeli wa Gongo la Mboto
