Moisemusajiografii
JF-Expert Member
- Nov 3, 2013
- 33,884
- 54,128
Hivi umewahi kuyatafakari maneno haya mawili? Uzalendo vs Ujinga!
Hivi umewahi kuyatafakari maneno haya mawili? Uzalendo vs Ujinga!
Huyo mleta post na mimi narudia kuwa ni mpuuzi Sana'a.......Wewe nawe mpuuzi wa mwisho ni wapi kawawa kakanusha kuwa ndege haijashiliwa?? Au mwenzetu unasikiliza vyombo vya habari kutoka nchi ganii?? Muwe mnaacha unafuki na muwe mnaiambia serikali ukweli ili nchi iendelee kwa unafiki wenu huu wa kijinga serikali itakuwa inajiona iko sawa kumbe inaboronga kama ilivyo sasa sababu minafiki mmejazana .
Akitaka aungwe mkono aache unyanyasaji.Kufuatia taarifa za uzushi na uongo za Mh Tundu Lissu kuwa ndege yetu imekamatwa CANADA kwa madai eti tunadaiwa jambo ambalo msemaji wa serekali bi Kawawa amekanusha kumezuka mijadala kwenye mitandao ya kijamii huku wengi wakionekana kushangulia na kufurahia jambo hili kitu ambacho ni aibu kwetu hata kama ingekuwa nikweli hivi hatuoni aibu kujivua nguo kwa watu nawaomba tumuunge mkono rais wetu mpendwa ktk vita hii ngumu ya kujenga uchumi huwa najiuliza katika suala la uzalendo nani aliyetuloga??
Sent using Jamii Forums mobile app
Kufuatia taarifa za uzushi na uongo za Mh Tundu Lissu kuwa ndege yetu imekamatwa CANADA kwa madai eti tunadaiwa jambo ambalo msemaji wa serekali bi Kawawa amekanusha kumezuka mijadala kwenye mitandao ya kijamii huku wengi wakionekana kushangulia na kufurahia jambo hili kitu ambacho ni aibu kwetu hata kama ingekuwa nikweli hivi hatuoni aibu kujivua nguo kwa watu nawaomba tumuunge mkono rais wetu mpendwa ktk vita hii ngumu ya kujenga uchumi huwa najiuliza katika suala la uzalendo nani aliyetuloga??
Sent using Jamii Forums mobile app
Ona huyu mpuunzi asiyejua maana ya uzalendo anataka tuwe wazalendo hadi kwene maswala ya kipuuzi ya serikali, na msemaji wa serikali kasema kuwa kweli kunamigogoro lenyewe linasema lissu kapotosha mbna hamna sehemu kasema sio kweli kuwa serikali haidaiwi.........Mi watu kama hii ndio iliyotufikisha hapa ya kuunga mkono tu eti uzalendo, unaujua uzalendo ww na raisi huyu anavopenda kuungwa mkono yy si afanye tu kazi watu tutaona tu jitihada zake kwani tukimuunga au tusipomuunga ndo kusema tutafanya kule ikulu ashindwe kuyimiza wajibu wakee...
Sent using Jamii Forums mobile app
Uzalendo kwenye mambo ya kipumbavu..!?.... Kwa hili Hapana wacha tuonekane sio wazalendoKufuatia taarifa za uzushi na uongo za Mh Tundu Lissu kuwa ndege yetu imekamatwa CANADA kwa madai eti tunadaiwa jambo ambalo msemaji wa serekali bi Kawawa amekanusha kumezuka mijadala kwenye mitandao ya kijamii huku wengi wakionekana kushangulia na kufurahia jambo hili kitu ambacho ni aibu kwetu hata kama ingekuwa nikweli hivi hatuoni aibu kujivua nguo kwa watu nawaomba tumuunge mkono rais wetu mpendwa ktk vita hii ngumu ya kujenga uchumi huwa najiuliza katika suala la uzalendo nani aliyetuloga??
Sent using Jamii Forums mobile app
Kama haijakamatwa basi tunaitakaKufuatia taarifa za uzushi na uongo za Mh Tundu Lissu kuwa ndege yetu imekamatwa CANADA kwa madai eti tunadaiwa jambo ambalo msemaji wa serekali bi Kawawa amekanusha kumezuka mijadala kwenye mitandao ya kijamii huku wengi wakionekana kushangulia na kufurahia jambo hili kitu ambacho ni aibu kwetu hata kama ingekuwa nikweli hivi hatuoni aibu kujivua nguo kwa watu nawaomba tumuunge mkono rais wetu mpendwa ktk vita hii ngumu ya kujenga uchumi huwa najiuliza katika suala la uzalendo nani aliyetuloga??
Sent using Jamii Forums mobile app
Walikuja na hoja Tanzania tunakufa kwa njaa ikabuma , Mara makinikia, Mara sijui bunge live naona wanyee debe mpk akili ikae sawa cc ni kazi tuWasaliti watatulia tu wakae kwanza rumande