Watanzania tulimuonea sana Mh. Dr. Jakaya Kikwete

Nianze kwa kuwatakia heri na baraka tele ziwe kwenu mwaka huu wote wa 2017

Wakati wa uongozi wa awamu ya nne, wanafunzi wa vyuo vikuu walikuwa wakicheleweshewa hela zao za kujikimu kesho yake utawasikia wako mitaani wakiandamana kuelekea ikulu, awamu hii ni kama wote wamepata na inawajia kwa muda muafaka!

Wafanyakazi nao, ni kama nyongeza za mishahara walizokuwa wakililia na kupanga migomo ya hapa na pale awamu ya nne ni kama awamu hii yote yametimizwa! Hatusikii migomo wala maandamano bali malalamiko ya chini kwa chini!

Wanasiasa nao ndo kama mnavyoshuhudia tena, matamko na mbwembwe za hapa na pale za enzi zile za awamu ya nne kwa sasa kimya kabisa ezi ifu kuna asilimia Mia ya uhuru wa kisiasa!

Yaani kifupi, sisi wabongo kumbe tuna hulka ya kuwaonea watu na kuwapa wakati mgumu sana wale wanaonekana kutupa nafasi kubwa ya kusikiliza matatizo yetu!

Kumbe dawa yetu ni kupigwa mikwara kwenda mbele maana wakati mwingine nao makelele mengi ukiyasikiliza yanaweza kukumislead! Piga mikwara baba, kumbe watanzania wapole tu! Wanaangalia sura, mwenekano na kariba!

Wameshindwa kuwatetea wanakagera, wanafunzi waliokosa mikopo, wafanyakazi walionyima stahiki zao, wastaafu waliopunjwa na kunyimwa stahiki zao (ila kumbe wakilalamika kupitia magezeti wanasaidiwa kama yule wa gazeti la mwananchi badala ya kusaidiwa wote!)

Kumbe watanzania wanasoma nani wamfanyie mbwembwe za migomo na maandamano!
Mjinga mpe cheo.
 
Ninawasi wasi wewe ni mmoja wa watu wasio na uwezo wa kuunganisha mambo na wepesi kusahau.

Hivi Jk alilifanya vizuri taifa hili? Angalia alivyokuwa akiteua watu kwa misingi aiujuayo yeye na ndio wlaipolifikisha taifa hapa lilipo. Alibundika bundika watu kujaza namba.

Ufisadi aliouasisi na kuulinda kwa nguvu zake zote uliona ulilpashwa kunyamaziwa kwamba ndiyo maendeleo?

Unakumbuka Ngosha alipoingia alisema amekuta hazina kweupe hakuna fedha? Hiiyo ilikuwa ni kazi ya nani? au kwako wewe huo ndio uongozi bora?

Kusema ukweli Ngosha analaumiwa kwa makosa mengi yasiyokuwa ya kwake. Anachojitahidi ni kuhangaika kuokoa jahazi alilolikuta limezama na kubakiza bendera tu iko juu yamaji. Anahangaika kufanya kazi kistaarabu kwa mujibu wa kulindana phenomena vinginevyo huyo JK leo asingekuwa anakenua kama anavyoonekana.

BTW, huyo Ngosha mnayemwona hafai, hajui, hawezi hata kama ana nia nzuri, ni matunda ya nani? Nani aliyemweka hapo kama siyo huyo Jk? Ubandikwaji wa jamaa utautofautishaje na bandiko zingine katika awamu ile vile zilifanyika bila kujali nia, uwezo wala sifa za mtu? Utasemaje kuwekwa kwa jamaa siyo mwendelezo wa maamuzi mabovu ya awamu ile?

JK HATAWEZA KUJINASUA KATIKA LAWAMA ZA KUSABABISHA MATESO KWA WATANZANIA. YOTE YANAYOTOKEA LEO NI MATUNDA YA JK NA NDIYO SABABU ANACHEKELEA.
WALE WEPESI KUSAHAU NA WASIOELEWA MUUNGANIKO WA MAMBO, NDIYO KAMA WEWE JAMAA, KWAMBA UMESHASAHAU UNATAKE KUCHORA MSITARI KWAMBA ETI FULANI ALIKUWA VILE NA YLUE YUKO VILE WAKATI YOTE NI MATOKEO YA KAZI YA MTU MMOJA.

LAWAMA ZOTE ZITAMWENDEA YEYE BILA HATA MSITISHO
hapa naona ni mwendo wa chagua kati ya mguu na mkono nikukate nini,kwa maneneo mengine maraisi wazuri waliishia awamu ya tatu tuu
 
Nianze kwa kuwatakia heri na baraka tele ziwe kwenu mwaka huu wote wa 2017

Wakati wa uongozi wa awamu ya nne, wanafunzi wa vyuo vikuu walikuwa wakicheleweshewa hela zao za kujikimu kesho yake utawasikia wako mitaani wakiandamana kuelekea ikulu, awamu hii ni kama wote wamepata na inawajia kwa muda muafaka!

Wafanyakazi nao, ni kama nyongeza za mishahara walizokuwa wakililia na kupanga migomo ya hapa na pale awamu ya nne ni kama awamu hii yote yametimizwa! Hatusikii migomo wala maandamano bali malalamiko ya chini kwa chini!

Wanasiasa nao ndo kama mnavyoshuhudia tena, matamko na mbwembwe za hapa na pale za enzi zile za awamu ya nne kwa sasa kimya kabisa ezi ifu kuna asilimia Mia ya uhuru wa kisiasa!

Yaani kifupi, sisi wabongo kumbe tuna hulka ya kuwaonea watu na kuwapa wakati mgumu sana wale wanaonekana kutupa nafasi kubwa ya kusikiliza matatizo yetu!

Kumbe dawa yetu ni kupigwa mikwara kwenda mbele maana wakati mwingine nao makelele mengi ukiyasikiliza yanaweza kukumislead! Piga mikwara baba, kumbe watanzania wapole tu! Wanaangalia sura, mwenekano na kariba!

Wameshindwa kuwatetea wanakagera, wanafunzi waliokosa mikopo, wafanyakazi walionyima stahiki zao, wastaafu waliopunjwa na kunyimwa stahiki zao (ila kumbe wakilalamika kupitia magezeti wanasaidiwa kama yule wa gazeti la mwananchi badala ya kusaidiwa wote!)

Kumbe watanzania wanasoma nani wamfanyie mbwembwe za migomo na maandamano!
Nilidhani ni kijana mdogo JF kumbe umekomaa. Aibu ni kutaka kuimarisha mtu ambaye tunaelewa vingine. Hukuwahi kuwa mzee wa DSM ukasikia ahadi ya watu kuvunjwa miguu kama wakiandamana? Hukuwahi sikia akikaa kura za wafanyakazi kuliko kuongeza mshahara?

Tatizo shujaa wako unalazimisha awe ni wa wote. Kama kipimo cha rais mwema ni kutetea ESCROW, endelea.
 
Dr Jakaya Kikwete na kweli alikuwa Doctor na alitibu matatizo mengi ya kidemokrasia sasa huyu Docta wa darasani dwaaaah.....!!!!
 
Ninawasi wasi wewe ni mmoja wa watu wasio na uwezo wa kuunganisha mambo na wepesi kusahau.

Hivi Jk alilifanya vizuri taifa hili? Angalia alivyokuwa akiteua watu kwa misingi aiujuayo yeye na ndio wlaipolifikisha taifa hapa lilipo. Alibundika bundika watu kujaza namba.

Ufisadi aliouasisi na kuulinda kwa nguvu zake zote uliona ulilpashwa kunyamaziwa kwamba ndiyo maendeleo?

Unakumbuka Ngosha alipoingia alisema amekuta hazina kweupe hakuna fedha? Hiiyo ilikuwa ni kazi ya nani? au kwako wewe huo ndio uongozi bora?

Kusema ukweli Ngosha analaumiwa kwa makosa mengi yasiyokuwa ya kwake. Anachojitahidi ni kuhangaika kuokoa jahazi alilolikuta limezama na kubakiza bendera tu iko juu yamaji. Anahangaika kufanya kazi kistaarabu kwa mujibu wa kulindana phenomena vinginevyo huyo JK leo asingekuwa anakenua kama anavyoonekana.

BTW, huyo Ngosha mnayemwona hafai, hajui, hawezi hata kama ana nia nzuri, ni matunda ya nani? Nani aliyemweka hapo kama siyo huyo Jk? Ubandikwaji wa jamaa utautofautishaje na bandiko zingine katika awamu ile vile zilifanyika bila kujali nia, uwezo wala sifa za mtu? Utasemaje kuwekwa kwa jamaa siyo mwendelezo wa maamuzi mabovu ya awamu ile?

JK HATAWEZA KUJINASUA KATIKA LAWAMA ZA KUSABABISHA MATESO KWA WATANZANIA. YOTE YANAYOTOKEA LEO NI MATUNDA YA JK NA NDIYO SABABU ANACHEKELEA.
WALE WEPESI KUSAHAU NA WASIOELEWA MUUNGANIKO WA MAMBO, NDIYO KAMA WEWE JAMAA, KWAMBA UMESHASAHAU UNATAKE KUCHORA MSITARI KWAMBA ETI FULANI ALIKUWA VILE NA YLUE YUKO VILE WAKATI YOTE NI MATOKEO YA KAZI YA MTU MMOJA.

LAWAMA ZOTE ZITAMWENDEA YEYE BILA HATA MSITISHO

No, not at all. JK was weak, a very weak president! This has been recorded forever! Of course he has his Strengths and weaknesses!

Kosa la JK ni kujaribu kuwapa watanzania mtu aliyedhani atapendwa na hao na watamchagua na hii ilikuwa kunusuru chama kufa mikononi mwake
 
Hivi kwanini kwny Tukio zima la Jk kukutana na Wana Chadema Ikulu hii Picha ya Lissu Kabong'oa kuchukua Chai ndio maarufu na ilisambaa sana?

Mbowe anatamani asimame nae akagombeee Chai, Prof Baregu aliona Lissu anachelewa ikabidi ainuke, Saed Arfi akili imestuck kwa kuona Chai na Yule Mpemba anacheka Cheka tu! Hii Picha ilipigwa kwa sababu Maalum na lilitimia!

Haya ndio yalikuwa Matusi ya Mkwere hakuwa akitukana Kama Ngosha!
nonsense!
 
Ninukuu siku ile Kikwete anatoa kahotuba fulani hivi kenye ukweli ndani yake

" na mlisema mimi ni mpole mpole sasa tumewaletea huyu mchapa kazi nafikiri kasi yake tutaiona kwa mbali nikasikia makeleee eeeehhhhhhhhhhh

CCM oyeeee......!!!!!!
Nikasikia watu wanaitikia oyeeeee....

Kisha Kikwete akacheka,
Hebu ngoja niingie kwenye mawazo ya Kikwete kidogo nafikiri kikwete anajisemea hivi huyu bwana alivyokuwa anaona mimi naongoza alifikiri ni kirahisi rahisi,

Na Magufuri nae anajisemea hivi huyu jamaa alikuwa anaongozaje sijui nimwalike aje anipe mbinu mbona mimi nakopa sana na mambo hayaendi...!!??
Sijui itakuwaje siku nikianza kukatariwa kukopa!!????..
 
Jk katika hotuba yake ya mwisho akikabidhi uenyekiti wa ccm alisema maneno "Historia itatoa hukumu ya haki ".Ni muda mfupi tuu tangu aondoke tumeanza kuona hakika tulikuwa na kiongozi ,baba na mlezi wa taifa aliyewajali na kuwaheshimu wananchi wake .
Alifanya juhudi kubwa kuboresha maisha ya watu na kuleta maendeleo katika nchi kwa miradi mikubwa mikubwa ya maendeleo lakini akabezwa na kupuuzwa kwa hila na chuki .
Sasa acha tuendelee kutukanwa,kubezwa na kufokewa .
Acha tuendelee kupokea amri na maelekezo ya mtu mmoja anayejua kila kitu aliyeamua kuendesha nchi kama mali yake binafsi .
Haya ni machumo ya mikono yetu wenyewe .
Jk II Pumzika salama huko kijijini kwako msoga acha tuendelee kuisoma namba .
 
Nilidhani ni kijana mdogo JF kumbe umekomaa. Aibu ni kutaka kuimarisha mtu ambaye tunaelewa vingine. Hukuwahi kuwa mzee wa DSM ukasikia ahadi ya watu kuvunjwa miguu kama wakiandamana? Hukuwahi sikia akikaa kura za wafanyakazi kuliko kuongeza mshahara?

Tatizo shujaa wako unalazimisha awe ni wa wote. Kama kipimo cha rais mwema ni kutetea ESCROW, endelea.

Huo ndio Ushujaa unaotufanya tumsifie kuwaambia kweli Wafanyakazi Tena Mwaka wa Uchaguzi kuwa sina uwezo wa kulipa kima cha chini laki tatu na nusu na Kama kigezo cha kunipa kura ni kuwaahidi Mshahara huo bora msinipe!

Kipimo cha Urais Mwema ni utii wa Wapinzani kwny issue ya kulinda kura Mita 200.

Tutajie Rais aliefanikiwa kukizubaisha Chama kikuu cha Upinzani na kuamua kuzunguka Nchi Nzima kuwaeleza Wananchi Ufisadi wa Mtu waliemsamisha wao wenyewe agombee u Rais Kama sio Jakaya? Mbowe na genge lake walikuwa Vijakazi wa Jakaya kwa Miaka 8 bila ya kujijua
 
Ninawasi wasi wewe ni mmoja wa watu wasio na uwezo wa kuunganisha mambo na wepesi kusahau.

Hivi Jk alilifanya vizuri taifa hili? Angalia alivyokuwa akiteua watu kwa misingi aiujuayo yeye na ndio wlaipolifikisha taifa hapa lilipo. Alibundika bundika watu kujaza namba.

Ufisadi aliouasisi na kuulinda kwa nguvu zake zote uliona ulilpashwa kunyamaziwa kwamba ndiyo maendeleo?

Unakumbuka Ngosha alipoingia alisema amekuta hazina kweupe hakuna fedha? Hiiyo ilikuwa ni kazi ya nani? au kwako wewe huo ndio uongozi bora?

Kusema ukweli Ngosha analaumiwa kwa makosa mengi yasiyokuwa ya kwake. Anachojitahidi ni kuhangaika kuokoa jahazi alilolikuta limezama na kubakiza bendera tu iko juu yamaji. Anahangaika kufanya kazi kistaarabu kwa mujibu wa kulindana phenomena vinginevyo huyo JK leo asingekuwa anakenua kama anavyoonekana.

BTW, huyo Ngosha mnayemwona hafai, hajui, hawezi hata kama ana nia nzuri, ni matunda ya nani? Nani aliyemweka hapo kama siyo huyo Jk? Ubandikwaji wa jamaa utautofautishaje na bandiko zingine katika awamu ile vile zilifanyika bila kujali nia, uwezo wala sifa za mtu? Utasemaje kuwekwa kwa jamaa siyo mwendelezo wa maamuzi mabovu ya awamu ile?

JK HATAWEZA KUJINASUA KATIKA LAWAMA ZA KUSABABISHA MATESO KWA WATANZANIA. YOTE YANAYOTOKEA LEO NI MATUNDA YA JK NA NDIYO SABABU ANACHEKELEA.
WALE WEPESI KUSAHAU NA WASIOELEWA MUUNGANIKO WA MAMBO, NDIYO KAMA WEWE JAMAA, KWAMBA UMESHASAHAU UNATAKE KUCHORA MSITARI KWAMBA ETI FULANI ALIKUWA VILE NA YLUE YUKO VILE WAKATI YOTE NI MATOKEO YA KAZI YA MTU MMOJA.

LAWAMA ZOTE ZITAMWENDEA YEYE BILA HATA MSITISHO
Ni vema ukasoma vizuri unachokisoma! Nikikwambia unionyeshe maneno niliyosema Jakaya ameifanyia mazuri nchi hii utanionyesha!?
 
Kila siku utakuta malori yanapita barabarani yakiwa yamebeba mizigo. Kwa hiyo uchumi huo umeyumba kwa watu wachache?
Wafanyakazi hawalipwi mishahara yao?
IMF wamesema uchumi wa Tanzania unakua kwa kasi ukilinganisha na baadhi ya nchi za Afrika, je hicho kigezo cha kudorora kwa uchumi umekipata wapi?
Rais Magufuli ana mwaka mmoja tu mpaka sasa, utamhukumuje leo badala ya kumhukumu baada ya miaka 5?
USHAURI WANGU NI KWAMBA, tumwache mwanafunzi wetu afanye mtihani kwa muda wake aliopangiwa ndipo tumsahihishie huo mtihani wake.
 
Ki ukweli sisi watanzania sasa hivi tunarukia mambo sana na kutafakali tujuavyo wenyewe.

Nalazimika kuja kufafanua bandiko langu baada ya kuona asilimia kubwa ya wachangiaji wamenielewa tofauti na matarajio yangu

Kifupi, ukisoma vizuri maandishi yangu, lengo langu halipo kwenye kuusifia wala kuukandia utawala wa nne na huu wa sasa!!

Mantiki yangu ilikuwa kuonyesha namna watanzania tusivyowastahimilivu wa kudai kile tunachokiamini hasa inapotokea kubadilishiwa Boss!

Nililenga zaidi watu walinganishe mbwembwe za watanzania wa makundi tofauti tofauti katika awamu iliyopita ambayo kiongozi wake alijinasibu kuwa mpole na namna watanzania hao hao wanavyonung'unikia moyoni pasipo kuonyesha hizo mbwembwe zao hadharani!

Ndio maana nikatolea mfano wa maandamano ya wanachuo, migomo migomo ya wafanyakazi na kelele za wanasiasa!

Mwisho, ni jambo zuri tu kuepuka matumizi ya lugha kali na za kuudhi katika maandishi yako, ni ustaarabu wa kawaida tu
 
Kila siku utakuta malori yanapita barabarani yakiwa yamebeba mizigo. Kwa hiyo uchumi huo umeyumba kwa watu wachache?
Wafanyakazi hawalipwi mishahara yao?
IMF wamesema uchumi wa Tanzania unakua kwa kasi ukilinganisha na baadhi ya nchi za Afrika, je hicho kigezo cha kudorora kwa uchumi umekipata wapi?
Rais Magufuli ana mwaka mmoja tu mpaka sasa, utamhukumuje leo badala ya kumhukumu baada ya miaka 5?
USHAURI WANGU NI KWAMBA, tumwache mwanafunzi wetu afanye mtihani kwa muda wake aliopangiwa ndipo tumsahihishie huo mtihani wake.
Na ninakuhakikishia mkuu..
JPM ataongoza hii nchi hadi 2025 (kama atakuwa hai)

Watanzania tunaongea sana halafu ni waoga sana(na sio wapole kama tunavyojitetea)
 
Umesahau kuwa Kikwete ndiye aliyetuletea huyu unayemlalamikia? Bila sarakasi zake unafikiri leo rais angekuwa nani? Umesahau kuwa ndiye aliyetia sahihi hii sheria ya makosa ya mtandao? Unajua kuwa ndiye alituvurugia mchakato wa katiba mpya, katiba ambayo ingetupa tume huru ya uchaguzi na kututatulia matatizo yetu mengi; tena baada ya kuuanzisha yeye mwenyewe na kutumia mabilioni ya pesa? Ufisadi?

JK ni mwanasiasa mahiri sana lakini strategically ni mwanasiasa hatari. Kama unabisha kawaulize hawa wanaogombania chai hapa.
5ca322183894480c87c72d685a31352c.jpg
Chai na bagia
 
hapo ndo ukifuatilia siasa za bongo unachoka kabisaaa..
ya Wapinzani ni vigeu geu sana yaani hata kama mtu anataka kuwaamini mnamuacha njia panda.
mlisema lowassa ni fisadi papa leo mnakanusha vikali na kwa matusi juu,
mkasema Jk ndo raisi hopeless aliyewahi kutokea Tanzania mkamwita dhaifu halafu leo tena ndo mnaanza kumsifia kuwa ni the best president ever:D:D:D:D:D:D:D:D:D
tunashinda kuwaelewa mnaenda hatua tatu mbele mnarudi saba nyuma:mad::mad::mad::mad::mad::mad::mad:
 
Kama unaelewa kidogo ni kwamba madhaifu makubwa ya utawala huu chanzo ni JK kuvuruga uchaguzi mkuu uliopita mpaka ikulu kukaliwa na wasio stahili .
 
Huo ndio Ushujaa unaotufanya tumsifie kuwaambia kweli Wafanyakazi Tena Mwaka wa Uchaguzi kuwa sina uwezo wa kulipa kima cha chini laki tatu na nusu na Kama kigezo cha kunipa kura ni kuwaahidi Mshahara huo bora msinipe!

Kipimo cha Urais Mwema ni utii wa Wapinzani kwny issue ya kulinda kura Mita 200.

Tutajie Rais aliefanikiwa kukizubaisha Chama kikuu cha Upinzani na kuamua kuzunguka Nchi Nzima kuwaeleza Wananchi Ufisadi wa Mtu waliemsamisha wao wenyewe agombee u Rais Kama sio Jakaya? Mbowe na genge lake walikuwa Vijakazi wa Jakaya kwa Miaka 8 bila ya kujijua
Naona kumbe uko nje ya mstari. mambo ya Mbowe yametoka wapi? Unaingiza majina ya watu nisiofahamiana nao: jenga hoja yako na haitakuwa nzuri eti tu kwa sababu umetukana mwanasiasa mwingine.
btw. Jana nilikutana na kichaa, akitembea bararanani kati, bila kupisha magari. Huyo ndo shujaa?
 
Back
Top Bottom