RaisMtarajiwa
JF-Expert Member
- Mar 25, 2014
- 704
- 65
Ndugu zangu watanzania ni vizuri tukajihadhali na wanasiasa wanaojalibu kubadili ukweli na kutoa lugha nyepesi nyepesi kwa kuwalaghai wananchi. wanasiasa feki wanadhani watanzania wanaakili kama zao za udanganyifu.
Watanzania inabidi tuseme sasa basi. tunaitaji vitendo na si siasa.
Watanzania inabidi tuseme sasa basi. tunaitaji vitendo na si siasa.