WATANZANIA tuhamie HALOTEL

WATANZANIA tuhamie HALOTEL

Wajanja tuu hao wanavuta Wateja kwanza halafu watupige badae Kama wenzao wanavyo Fanya. Nchi sisi wanyonge hatuna mtetezi ni kupigwa tuu.
Heshima yako mkuu Lituye.
Uuhuuuhuuu
 
kivipi sio ?
Nilikuwa na line yao nikaisahau sehemu for 1 month nikaja kurudi kuitumia kwa kuweka vocha ikagoma kuwapigia wanaanza kuniambia sijawahi itumia toka niinunue wala kuweka vocha ikabidi niwashangae kwanza na kuwapa mtiririko wa jinsi nilivyoitumia, hitimisho lao wakaniambia niinunue mpya tu sababu hii namba yangu imerudishwa dukani nikawaambia basi nai-renew wakasema haiwezekani just buy another one. Wala sijajishughulisha kwenda kwenye dukani lao
 
Nilikuwa na line yao nikaisahau sehemu for 1 month nikaja kurudi kuitumia kwa kuweka vocha ikagoma kuwapigia wanaanza kuniambia sijawahi itumia toka niinunue wala kuweka vocha ikabidi niwashangae kwanza na kuwapa mtiririko wa jinsi nilivyoitumia, hitimisho lao wakaniambia niinunue mpya tu sababu hii namba yangu imerudishwa dukani nikawaambia basi nai-renew wakasema haiwezekani just buy another one. Wala sijajishughulisha kwenda kwenye dukani lao
pole mkuu, hapo jamaa wamechemka
 
halotel kwasasa ndo mtandao unaondena na maisha ya watanzania...vifurushi vyao vinaridhisha siyo vya kinyonyaji kama vya mitandao mingine...

kwale wenzangu na mimi tunaotumia mtandao wa vodacom tujitathimini upya kwani nahisi kama tunanyonywa zaidi.kwa ufupi vodacom ni ile ile..tumeipenda wenyewe acha tuisome namba...ila mimi nahamia Halotel kuanzia leo
Ungeeleza kwa undani zaidi juu ya aina zavifurushi vilivyopo na bei zake ili tulinganishe na vifurushi vya mitandao tuliyomo.
 
mnaotumia halotel munatakiwa mujue jambo moja, network yao inamaliza charge sana sababu mda wote inakaa H haina standby ya 3g. hivyo kama unaona simu haikai chaji kama zamani ujue ni halotel
 
Halotel wako vzr sababu wanatumia fiber optic
 
Back
Top Bottom