kuna dalili za kile kikundi kurudia mgomo wa kuuza mafuta. Lakini kwa kiasi kikubwa chanzo cha tatizo ni Watanzania wenyewe kwa kuwa na sura zinazosomeka 'tufanyie lolote'
hivi kiburi hiki wanapewa na nani????
au ndiyo wale wanaotoa michango mikubwa
kwenye kampeni za uchaguzi mkkuu ktk chama
tawala, kiasi ambacho wanakuwa na jeuri ya
kumkaripia mkuu wa nchi asipotii matakwa yao?
ndiyo hawahawa waliokuwa wanachakachua mafuta, serikali iliwashindwa ikaamua kupandisha bei ya kerosene ili kunufaisha busmen, na kuumiza walio the poor wengi wanaotumia kerosene
aaaaaaaaah!!!!!!!! SERIKALI YETU WAKATI MWINGINE INAKERA JAMAA!!!!, YYYUUUUUU!!!!!!!!!!!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.