Ndombwindo
JF-Expert Member
- Nov 23, 2013
- 1,486
- 2,315
Shukrani sana mkuu, ni kweli kama ipo ipo tu, isipokuwepo hata ulazimishe vipi utaishia kuharibu.Una kitu utafika mbali mkuu Tanzania pia ni nchi ya maziwa na asali
Shukrani sana mkuu, ni kweli kama ipo ipo tu, isipokuwepo hata ulazimishe vipi utaishia kuharibu.Una kitu utafika mbali mkuu Tanzania pia ni nchi ya maziwa na asali
ni suala la muda tutamfikia........Na namna congo wanalalamika watanzania wamejaa huko
View attachment 3284583
Sasa Kasama Iko congo ndugu?huyu ni mzambia analalamika watz kujaa kwenye soko lao,kwa kiwemba mix lugha ya malikiaNa namna congo wanalalamika watanzania wamejaa huko
View attachment 3284583