Watanzania ni wazuri katika mambo gani?

Watanzania ni wazuri katika mambo gani?

bfexjan

Member
Joined
Mar 11, 2012
Posts
64
Reaction score
14
Nimekuwa nikijiuliza swali hili muda mrefu, nikaona si vibaya nikipata mawazo toka kwa watu mbalimbali, je sisi watanzania ni mambo yapi ambayo tunaweza kujivuna au kama ni mabaya tunaweza kusema tumewazidi watu wengine afrika mashariki, kusini, au hata ulimwenguni.

Mimi nitaanza
A. Mazuri
1. Watanzania ni wavumilivu sana, waweza mtendea vibaya kitu lakini asi 'react'


B. Mabaya
1. Watanzania wengi ni wavivu, ukitaka kazi iende lazima uisimamie kweli kweli.

Waweza ongeza yako.
 
Nimekuwa nikijiuliza swali hili muda mrefu, nikaona si vibaya nikipata mawazo toka kwa watu mbalimbali, je sisi watanzania ni mambo yapi ambayo tunaweza kujivuna au kama ni mabaya tunaweza kusema tumewazidi watu wengine afrika mashariki, kusini, au hata ulimwenguni.

Mimi nitaanza
A. Mazuri
1. Watanzania ni wavumilivu sana, waweza mtendea vibaya kitu lakini asi 'react'


B. Mabaya
1. Watanzania wengi ni wavivu, ukitaka kazi iende lazima uisimamie kweli kweli.

Waweza ongeza yako.

Let not afraid to call a spade a spade.....TRUE UYASEMAYO! They are also good in prioritizing ngono! Mimi ni mtz pure!
 
Kujisifu,
watz sisi ni wataalam sana wa hilo.
 
uvivu, ukarimu, IQ haba, 'kuhubiri amani', maneno mingi.
 
Kupenda vya bure.

Si wachoyo hasa kwenye vyakula (ispokuwa kwa baadhi ya maeneo hasa ya miji mikubwa au makabila fulani fulani)
 
Wavivu wa kusoma na kuchambua, ukitaka kuwaficha mambo na kuyapitisha kama unavyotaka, weka kwenye maandishi hata mke au mume wa Mtz utachukua tu, atakuja shtuka wakati wa matokeo. Rejea mikataba wanayoingia viongozi na wawekezaji.
 
B, uongozi wa kijinga, waomba misaada hovyo, wezi ,wanafiki,wapenda sifa na ujiko, wavivu, iq ndogo
 
Wanasiasa wake wanaongoza kwa kutoa ahadi zizotimizika.(ahad za uongo)
 
  1. wanatoa hela na kuomba huduma...
  2. hawapendi kununua bidhaa ziwe na VAT..
 
Mabaya yetu hatutafakari kwanza kama mkisikia MWIIIIZIII ni kubeba tofali tu (tubadilike)
Kila wanachosikia bila kufuatilia undani wanakurupuka,
 
Kujisifia wakati hawana kitu
Kujisifu tuna rasilimali nyingi wakati haziwasaidii chochote
 
Watanzania wanahasira za karibu halafu ni wepesi wa kusahau,tizama inshu za kifisadi zikibumburuka,baada ya mwezi tu,huwa wameshasahau .
 
Wachawi
Watanzania wengi wachawi ktk nyumba kumi nyumba 7 ni wachawi.
Ukitaka kuamini hilo angalia mtu akipata nafasi kidogo tu ya cheo kazini anakimbilia kwa mganga kujipigilia misumari.
 
Anajipenda kuvaa na kuwaonesha watu km hakuna km yy ila ukienda sehemu anayoishi ni tofaut ht kula anajinyima ili avae
 
Back
Top Bottom