Watanzania ni wazuri katika mambo gani?

Watanzania ni wazuri katika mambo gani?

Wajinga wasioelimika kila wakati wakiburuzwa na ccm.but watz wa zanzibar wanajielewa sio km hawa wabara.ovyoooo!!
 
Watanzania exposure ni ndogo sana, hawapendi kujifunza na kuongeza exposure katika maeneo yao ya kuishi na nje ya eneo la kuishi
 
Sisi ni waongeaji lakini vitendo sifuri
 
Watz ni wazuri sana kwa kuua tembo na kutumiwa katika kuuza unga a.k.a SEMBE...halafu watz wanatumia muda mwingi kufikiria mambo ya ngono badala ya kufanya kazi.
 
mimi siyo mtanzania, ni wa hpo kwa m7 ila watanzania wanaridhika haraka, mtu akiwa na 10000 mfukoni haoni sababu ya kutafuta nyingine kuiongezea anahakikisha ile imeisha ndiyo afikirie kutafuta nyingine( baadhi yao)
 
Back
Top Bottom