ISIS
JF-Expert Member
- Apr 20, 2016
- 96,072
- 858,572
Nikome na wewe! Kwani wewe ni Nani, wewe si jitu lenye PHD ya mitusi! Potelea mbali milele!Bado hujakoma tu na Mimi?
Nikome na wewe! Kwani wewe ni Nani, wewe si jitu lenye PHD ya mitusi! Potelea mbali milele!Bado hujakoma tu na Mimi?
Hilo la kukiri laana nakubaliana nalo ila ukweli lazima usemwe,Watanzania ni Wavivu sanaaMimi sijamwita mtanzania mwenzangu mvivu na wala sija ilaani nchi yangu Tanzania! Kwa sababu najua fumbo la alaanie mabaya hayata kutoka na ashutumie mwenzie mabaya , yeye ndiyo alivyo...have a nice Sunday!
Waafrika ama watu weusi kwa ujumla tuna matatizo sana tena suguUnaonaje ukienda kuwauliza hao wabobezi wa AI hili swali lako la wakati ujao? Hapo basi unajiona msomiiiii! Waafrika sisi yaani dah!
Halafu matatizo yetu yanafanana, iwe hapa Afrika, USA, Australia, Visiwa vya Caribbean, Ulaya, Haiti na kwingineko ni yale yale. Uvivu, kulalamika tunaonewa, ufisadi wa kutisha, wivu na kutopendana, ushirikina na kupenda vya bure. Pengine ni mfumo wetu wa kufikiri ndiyo tatizo. Pengine ni historia yetu. Pengine ni laana ya Mungu...Hata sijui sababu ni niniWaafrika ama watu weusi kwa ujumla tuna matatizo sana tena sugu
Sisi ni wa hovyo mbele ya races zingine



Katika kitabu kitakatifu Biblia kuna sehemu Nabii Elisha alimfufua mtoto ambaye mama yake yule mtoto hakukiri hata mara moja kwamba mtoto wake amefariki!Hilo la kukiri laana nakubaliana nalo ila ukweli lazima usemwe,Watanzania ni Wavivu sanaa
Waafrika tumeumbwa kutawala dunia! We are good in controlling other people's minds, lakini hawa watu wengine wakawa wajanja wakatuletea vitu vya ku memorize, iko siku tutafika tu! Mama Africa ameamka!Halafu matatizo yetu yanafanana, iwe hapa Afrika, USA, Australia, Visiwa vya Caribbean, Ulaya, Haiti na kwingineko ni yale yale. Uvivu, kulalamika tunaonewa, ufisadi wa kutisha, wivu na kutopendana, walalamikaji, ushirikina na kupenda vya bure. Pengine ni mfumo wetu wa kufikiri ndiyo tatizo. Pengine ni historia yetu. Pengine ni laana ya Mungu...Hata sijui sababu ni nini![]()
Mkuu ninaiamini Biblia pasipo shaka yoyote ila hapa nazungumzia Ukweli na Uhalisia kuwa watu weusi tuna Uvivu mbaya sanaa.Katika kitabu kitakatifu Biblia kuna sehemu Nabii Elisha alimfufua mtoto ambaye mama yake yule mtoto hakukiri hata mara moja kwamba mtoto wake amefariki!
Huyo mama hakukiri kwamba mwanae amefariki , na alifufuliwa! Sasa wewe unakiri.. kazi kwako! Tuyaache, uwe na siku njema!Mkuu ninaiamini Biblia pasipo shaja yoyote ila hapa nazungumzia Ukweli na Uhalisia kuwa watu weusi tuna Uvivu mbaya sanaa.
Unataka nisikiri kuwa WATANZANIA NI WAVIVU, wakati Tafiti zinathibitisha hilo?Huyo mama hakukiri kwamba mwanae amefariki , na alifufuliwa! Sasa wewe unakiri.. kazi kwako! Tuyaache, uwe na siku njema!
Believe what you believe na iwe kwako na kizazi chako milele yote!Unataka nisikiri kuwa WATANZANIA NI WAVIVU, wakati Tafiti zinathibitisha hilo?
I believe in the TRUTH, so long has been passed in some findings and experiences...I call them FACTSBelieve what you believe na iwe kwako na kizazi chako milele yote!
I belive in the TRUTH, so long has been passed in some findings and experiences...I call them FACTS
Japan ni kati ya nchi 8 Tajiri sana Duniani, waligundua Robots wanaofanya kazi wa kutosha kuanzia miaka ya 80 mwishoni
Ila mpaka leo hii wananchi wa Japan wanafanya kazi kwa zaidi ya Masaa 8 kila siku.
Watanzania wengi ambao ni watu masikini sana wanafanya kazi masaa manne (4) kwa siku.
Kuna madai au imani iliyojengeka kuwa Watanzania au Waafrika kwa ujumla ni wavivu. Dhana hiyo inanipa shida kwani naona watu wengi wanahangaika sana ili kukidhi mahitaji yao. Je ni kweli Wa TZ wengi ni wavivu au wanakosa tu mbinu?
Wengi wanao acha professional zao na kukimbilia siasa ni wavivu na ni wapenda mafanikio kwa kutumia shortcutNi kweli sisi ni wavivu