Watanzania ni ignorants au tumelogwa? Oktoba 25, tutafanya informed decision au tutachagua tuu?

CCM out....!!!




😨😨😨😨😨😨😨😨😨😨😨😨😨



CCM out... !!!
 

Nachelea kusema akili hii ni sawa na kinyesi.
Maana hoja ya kukichagua ccm hapa sijaiona mpaka mwisho wa habari yake.
Chagua Mabadiliko ya kweli
Chagua Lowasa
 
Pasco
Inaelekea unakata tamaa na UKAWA, baada ya kuwa informed juu ya hali ya ndani ya umoja huo.
Funguka zaidi boss!

Kuhusu watu kuichagua ccm, huo ni ugonjwa sugu. Mimi nawafahamu watu wengi tu wana maisha duni kweli kweli. Wananing'inia kwenye dala dala kila siku; hawana mlo unaoeleweka kwa siku. Lakini ni ccm damu. Ukiwauliza unaridhika na maisha uliyonayo? Wanajibu ndiyo. Yaani kwao mgao wa umeme sio issue; kutumia maji yasiyo safi na salama sio issue. Na hawa ni wengi, mijini na vijijini.

Hawajitambui. Ndio mtaji wa ccm.
 

Siwezi na sitaweza kukata tamaa leo, kesho wala maisha mimi ni Chadema tena ukawa kweli kweli.
Na tuna uhakika wa kuchukua Nchi
Mwaka huu siwezi kutoka huku nikiwa Ulaya nilikuwa mwana Mageuzi siwezi kugeuka.
 

Watanzania ni samaki wanavuliwa kwa nyavu zilezile na ndoano zilezile miaka nenda rudi wala hawasituki
 
Last edited by a moderator:

Watanzania wakiweka ushabiki pembeni basi Dkt. Magufuli ndie wa kupokea kijiti cha uraisi kutoka kw Dkt JMK.
 
Kuwa na msimamo ndugu, hao wa kukuongoza ktk hayo mabadiliko WEFELI MTIHANI WA KUSIMAMIA MISINGI WALIYOIWEKA MWANZO. Ni vigeugeu, endapo watachukua nchi hawaaminiki na wakisemacho!

CCM ndio hawaaminiki kwa ajili ya kila aina ya ufisadi waliowafanyia Watanzania kwa miongo hii mitano.
 
Kwa kweli tutaendelea kuwa "ignorants" na mazuzu Kama mleta uzi alivyoandika.
Hivi lakini tunajiuliza ni mabadiliko gani hasa sisi waTz tunayataka?? Je ni nini hasa tatizo/kiini cha matatizo yetu? Hivi ni chama/mfumo ndivyo vyenye matatizo au nini hasa?
Tuna haja ya kukaa chini na kujiuliza maswali ambayo kwayo ndio sababu kuu ya sisi kuendelea kuwa hivi tulivyo. Lakini vile vile tujiulize uhalisia ni upi katika hili tunalolilia wakati wote,
Mawazo yangu:
1. Ni lazima fikra zetu zibadilike sana
2. Tujitambue, mitizamo iwe chanya
3. Uwajibikaji, maadili na kuipenda nchi yetu vitutawale.
 

Mkuu Pasco kula TANO. Umeongea maneno mazima sana na umechambua kwa kina nini tunatakiwa kufanya, tumeanguka wapi na ni kwanini. Haya uliyosema tutayapinga kwa sababu bado hatujielewi. Tutayapinga kwa sababu tumekaririshwa fikra fulani mfu vichwani mwetu. Hatutayakubali kwa sababu yamesemwa na Pasco ambae si mwenzetu!!! HAPO NDIPO AKILI ZETU ZILIPOKOMA.

HAKIKA WEWE NI MTANZANIA WA KWELI KULIKO WENGI TUNAOJIITA WATANZANIA HUKU NGUO YENYE KIRAKA TUKIITA MPYA!!! TUKIFUATA FIKRA MFU HUKU TUNAZISIFIA...

AH POLE TANZANIA.
 
Mimi sio mjinga,nitadhihiridha hilo hapo October 25 nitakapoenda kuipigia kura Chadema.
Serikali ya CCM inayayomaliza muda wake sikuwahi kuhusika kivyovyote kuiweka madarakani....nina maana ya kwamba huu ndio uchaguzi wangu wa kwanza na ninakwenda kushiriki kuiondoa CCM madarakani,raha sana.
 
Nakuambia acha tu,kikubwa uzima mumy....tuendelee na safari yetu ya mabadiliko maana naona imepamba moto sio mchezo!
Yani uzima ni kila kitu mpaka October ifike napenda changes balaa kupiga kura kwa Mara ya kwanza nataka iwe na positive impact ya changes.
Nakuambia acha tu,kikubwa uzima mumy....tuendelee na safari yetu ya mabadiliko maana naona imepamba moto sio mchezo!
 
Yaani hata mseme nini mimi ni CCM tu kwani siwezi kuweka nchi rehani kwa watu ambao wamekosa dira wala muelekeo.Chama kisichoaminika na kubadilikabadilika kama Kinyonga kwakweli pamoja na madhaifu yooooote ya CCM sijaona nani wa kumuamini. Kumchukua Lowassa na kutugeuka watu tuliowaamini ni usaliti ambao upinzani umefanya wanakosa uwezo wa kuinyooshea ccm vidole
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…