Watanzania neema inakuja

Watanzania neema inakuja

Mnampango m-baya na wanachi wanaoishi maeneo ya kigamboni

George bush na mji wa kigamboni

mkataba umekuja kivingine

Vijibweni ,mjimwema ,kibada na maeneo mengine jiangeni kwenda kuishi kisarawe two
Haya maeneo uliyoyataja ndio yatakuwa wafaidika wa huu uwekezaji mkubwa na mzuri sana mkuu
 
Makubaliano juu ya uendeshaji na uendelezaji wa bandari zetu ni goli la mbali alilofunga mama yetu Rais Samia.

Sasa mizigo itakuja kwa wingi na kwa haraka ambapo kutasaidia kupungua kwa gharama za bidhaa.

Mapato yetu yataongezeka kwa asilimia kubwa, Watanzania wengi wataajiriwa, wataalamu wa Kitanzania wataongezeka mara dufu.

DP World ni wazoefu wa undeshaji wa bandari duniani kote si wababaishaji, hivyo tutegemee faida kubwa
kwa ufupi Watanzania wote tunakwenda kuneemeka.

Hongera Rais wetu.
Nyie mnaokuja hapa na mada ya dude lenu kulipamba , wakati ni la kipumbavu , ipo siku sio zenu mtakufa midomo ikiwa wazi , na limkataba lenu la kipumbavu

Huwezi shindana roho za watu m 60 ukabaki salama , nawambieni yanakuja makubwa ,asema Bwana tunza hii
 
Natamani kukutukana sema nimefunga, pole kwa akili ndogo.
 
V.A.T, import duty, inspection fee nk zitakuwa chini ya muwekezaji au Mamlaka za serikali? Kama ni muwekezaji maana yake atakuja na rate za chini kama ni TRA basi formula na calculator itabaki ile ile na bei ya vitu itabaki ile ile ila unafuu ni muda wa kuchukua mzigo utapungua pamoja na garama za kuhifadhi
 
Kabisa mkuu Kuna siku watalia na kusaga meno
 
V.A.T, import duty, inspection fee nk zitakuwa chini ya muwekezaji au Mamlaka za serikali? Kama ni muwekezaji maana yake atakuja na rate za chini kama ni TRA basi formula na calculator itabaki ile ile na bei ya vitu itabaki ile ile ila unafuu ni muda wa kuchukua mzigo utapungua pamoja na garama za kuhifadhi
Sheria na utaratibu utaboreshwa zaidi Ili kuendana na mahitaji
 
Makubaliano juu ya uendeshaji na uendelezaji wa bandari zetu ni goli la mbali alilofunga mama yetu Rais Samia.

Sasa mizigo itakuja kwa wingi na kwa haraka ambapo kutasaidia kupungua kwa gharama za bidhaa.

Mapato yetu yataongezeka kwa asilimia kubwa, Watanzania wengi wataajiriwa, wataalamu wa Kitanzania wataongezeka mara dufu.

DP World ni wazoefu wa undeshaji wa bandari duniani kote si wababaishaji, hivyo tutegemee faida kubwa
kwa ufupi Watanzania wote tunakwenda kuneemeka.

Hongera Rais wetu.
Mbwa kasoro mkia na mtia saini wa huo mkataba mmnatafuta jambo na mtalipata tu
 
Tutegemee??? Kwahiyo ni mategemeo na sio uhalisia? Mmelaniwa nyinyi sio bure
 
Makubaliano juu ya uendeshaji na uendelezaji wa bandari zetu ni goli la mbali alilofunga mama yetu Rais Samia.

Sasa mizigo itakuja kwa wingi na kwa haraka ambapo kutasaidia kupungua kwa gharama za bidhaa.

Mapato yetu yataongezeka kwa asilimia kubwa, Watanzania wengi wataajiriwa, wataalamu wa Kitanzania wataongezeka mara dufu.

DP World ni wazoefu wa undeshaji wa bandari duniani kote si wababaishaji, hivyo tutegemee faida kubwa
kwa ufupi Watanzania wote tunakwenda kuneemeka.

Hongera Rais wetu.
Unakatwa
 
Back
Top Bottom