Watanzania neema inakuja

Watanzania neema inakuja

Pongezi kwa Serikali ya awamu ya 6 kwa jitihada za kukuza uchumi.


wasio penda maendeleo ya Nchi yetu watahrisha damu mwaka huu.
 
Makubaliano juu ya uendeshaji na uendelezaji wa bandari zetu ni goli la mbali alilofunga mama yetu raisi Samia.

Sasa mizigo itakuja kwa wingi na kwa haraka ambapo kutasaidia kupungua kwa gharama za bidhaa.

Mapato yetu yataongezeka kwa asilimia kubwa, watanzania wengi wataajiriwa , wataalamu wa kitanzania wataongezeka mara dufu.

Dp world ni wazoefu wa undeshaji wa bandari duniani kote SI wababaishaji, hivyo tutegemee faida kubwa
Kwa ufupi watanzania wote tunakwenda kuneemeka.


Hongera raisi wetu.
Hakuna nchi yenye wapumbavu wengi kama hii. Hizo benefits tukikomaa wenyewe zinakuja sio lazima tuuze na kutweza utu wetu kwa waarabu. Haya ni matokeo ya kuwa na kiongozi kipofu asiye maono. Aende kubinafsisha Bandari ya Zanzibar.
 
Hakuna nchi yenye wapumbavu wengi kama hii. Hizo benefits tukikomaa wenyewe zinakuja sio lazima tuuze na kutweza utu wetu kwa waarabu. Haya ni matokeo ya kuwa na kiongozi kipofu asiye maono. Aende kubinafsisha Bandari ya Zanzibar.
Labda wewe ni sehemu ya hao wapumbavu kwani bandari zipi zilizouzwa?
 
Jinga mkubwa wewe, mbona bandari zenu za Zanzibar hazipo kwenye huo mkataba wa milele au nyie hamtaki faida?
Ndugu yangu Zanzibar haina sehemu ya kuweka makontenna, Ardhi ndogo hiyo mizigo tutamplekea nani.
DP world hawatutaki sababu hatuna faida yoyote ile.

Ikija kampuni ya kutumia bahari na ukaona bahari za zanzibar hazimo piga kelele.
 
Makubaliano juu ya uendeshaji na uendelezaji wa bandari zetu ni goli la mbali alilofunga mama yetu raisi Samia.

Sasa mizigo itakuja kwa wingi na kwa haraka ambapo kutasaidia kupungua kwa gharama za bidhaa.

Mapato yetu yataongezeka kwa asilimia kubwa, watanzania wengi wataajiriwa , wataalamu wa kitanzania wataongezeka mara dufu.

Dp world ni wazoefu wa undeshaji wa bandari duniani kote SI wababaishaji, hivyo tutegemee faida kubwa
Kwa ufupi watanzania wote tunakwenda kuneemeka.


Hongera raisi wetu.
We chawa hujui kuwa Dubai siyo Nchi? Tumeingiza mkataba na mji wa Dubaie
 
Makubaliano juu ya uendeshaji na uendelezaji wa bandari zetu ni goli la mbali alilofunga mama yetu raisi Samia.

Sasa mizigo itakuja kwa wingi na kwa haraka ambapo kutasaidia kupungua kwa gharama za bidhaa.

Mapato yetu yataongezeka kwa asilimia kubwa, watanzania wengi wataajiriwa , wataalamu wa kitanzania wataongezeka mara dufu.

Dp world ni wazoefu wa undeshaji wa bandari duniani kote SI wababaishaji, hivyo tutegemee faida kubwa
Kwa ufupi watanzania wote tunakwenda kuneemeka.


Hongera raisi wetu.
Jidanganye..
 
Mwambieni mama. Wale mnaowaita wapotoshaji, wametupotosha sana. Yaani nchi nzima watanganyika hawataki neema ya mwarabu. WAMEKATAA KATAKATA bandari zao kuuzwa kwa mwarabu. Bado naamini mama ataungana na wananchi wake nje ya bunge.
 
Kwa hiyo wabunge wetu ni WAPUMBAVU kwa kukubali na kupitisha jambo ambalo halijakamilika? jambo ambalo serikali na mwarabu HAWAJAKUBALIANA baadhi ya mambo?.
Waliwekwa na Magufuli ndio maana hawana hofu.
 
Mwambieni mama. Wale mnaowaita wapotoshaji, wametupotosha sana. Yaani nchi nzima watanganyika hawataki neema ya mwarabu. WAMEKATAA KATAKATA bandari zao kuuzwa kwa mwarabu. Bado naamini mama ataungana na wananchi wake nje ya bunge.
Mkuu hakuna bandari iliyouzwa watanganyika ni waelewa sana
 
Lissu: Bandari ni suala la Muungano,

Cha kushangaza ni kuwa zimeuzwa bandari za bara pasi na UKOMO lakini Bandari za Zanzibar hazihusiki.

Katika hili, sa100 Hana Nia njema na Tanzania bara.

Sa100 must go.
 
Mnampango m-baya na wanachi wanaoishi maeneo ya kigamboni

George bush na mji wa kigamboni

mkataba umekuja kivingine

Vijibweni ,mjimwema ,kibada na maeneo mengine jiangeni kwenda kuishi kisarawe two
 
Mnampango m-baya na wanachi wanaoishi maeneo ya kigamboni

George bush na mji wa kigamboni

mkataba umekuja kivingine

Vijibweni ,mjimwema ,kibada na maeneo mengine jiangeni kwenda kuishi kisarawe two
Ni kati ya uongozi mbaya kuwahi kutokea Tanzania mkuu
 
Back
Top Bottom