Fukua
JF-Expert Member
- Jun 1, 2022
- 565
- 526
Makubaliano juu ya uendeshaji na uendelezaji wa bandari zetu ni goli la mbali alilofunga mama yetu Rais Samia.
Sasa mizigo itakuja kwa wingi na kwa haraka ambapo kutasaidia kupungua kwa gharama za bidhaa.
Mapato yetu yataongezeka kwa asilimia kubwa, Watanzania wengi wataajiriwa, wataalamu wa Kitanzania wataongezeka mara dufu.
DP World ni wazoefu wa undeshaji wa bandari duniani kote si wababaishaji, hivyo tutegemee faida kubwa
kwa ufupi Watanzania wote tunakwenda kuneemeka.
Hongera Rais wetu.
Sasa mizigo itakuja kwa wingi na kwa haraka ambapo kutasaidia kupungua kwa gharama za bidhaa.
Mapato yetu yataongezeka kwa asilimia kubwa, Watanzania wengi wataajiriwa, wataalamu wa Kitanzania wataongezeka mara dufu.
DP World ni wazoefu wa undeshaji wa bandari duniani kote si wababaishaji, hivyo tutegemee faida kubwa
kwa ufupi Watanzania wote tunakwenda kuneemeka.
Hongera Rais wetu.