A Amon Member Joined Oct 17, 2010 Posts 49 Reaction score 3 Jan 15, 2014 #1 Beki mahiri, kisiki, mtaalamu wa kupiga yale mashuti ya penalti, aliyewahi kuwa kepteni wa Taifa stars na dawa ya washambuliaji je yuko wapi?
Beki mahiri, kisiki, mtaalamu wa kupiga yale mashuti ya penalti, aliyewahi kuwa kepteni wa Taifa stars na dawa ya washambuliaji je yuko wapi?
D delako JF-Expert Member Joined Oct 6, 2012 Posts 3,011 Reaction score 2,049 Jan 15, 2014 #2 Yupo nyumbani kwake na familia yake..!
Deo Corleone JF-Expert Member Joined Jun 29, 2011 Posts 17,023 Reaction score 13,370 Jan 15, 2014 #3 Yupo nepal.