kinya
JF-Expert Member
- Feb 20, 2009
- 495
- 71
kiukweli hii tamthilia ya nyongeza ya mishara haitoisha leo wala kesho kwa sababu hapa upande wa serikali unataka ulipe kidogo ili wanyakazi waendelee kutomika milele.upande wa wawakilishi wetu nao sidhani kama wana dhamira ya dhati ya kutukomboa zaidi ya kutaka maslahi binafsi kwani tumeshudia mwito wa migomo mara nyingi lakini kwa kutochukua tahadhari za kutosha tunaishia kuahirisha hivyo igizo hili litachukua muda kuisha!