hebu tujikumbushe imani 'potofu' za jamii mbalimbali hapa nchini.
1.kuna baadhi ya wanawake wa kitanzania wanaamini kuwa njia mojawapo ya kuepuka mimba ni kunywa maji mengi baada ya tendo la ndoa.
2.zamani tuliaminishwa kuwa wazee wengi wa pwani kama kule tanga na bagamoyo wanapata ngiri maji(mabusha) kwa kuwa kuwa ni wanywaji wa maji ya madafu.
3.tulivyokuwa watoto tuliambiwa tusipige mbinje(miluzi) usiku....mpaka leo sababu sijajua ni nini.
...........................
hebu tuwekee imani potofu mbalimbali ulizowahi kusikia kwenye jamii yako