Watanzania na akili zenu za Beberu

Watanzania na akili zenu za Beberu

Mbahili

JF-Expert Member
Joined
Nov 28, 2016
Posts
296
Reaction score
547
Kabla sijazungumzia chochote tengeneza picha ya beberu (mbuzi dume) kichwani. Fikiria anapewa pumba, majani ya kutosha na mwishowe maji ila mwisho wa siku nini? kisu shingoni.

Hili tukio completely na nyie Watanzania (mimi nimejitoa kwa kukosa hivyo vigezo vya beberu).

Hivi unadhani kwanini Lema aliwatukana madreva bodaboda? Kwanini anatukana na kudhalilisha kipato cha chini? Jibu ni moja, amegundua Watanzania ni beberu utawatukana, watakasirika, utaenda nunua pumba na majani, utawapa kisha watasahau.

Hali ya uchumi ilivyo nchini sio ya kuongea chumbani, maisha yamekuwa magumu mtaani, tunashuhudia kampuni nyingi zikihamisha biashara zao kupeleka nchini Kenya, tunaona wawekezaji wakitoa negative comments kwenye mazingira ya uwekezaji nchini.

Serikali haina wasiwasi wala panik yeyote ile kwasababu inaongoza watu variety ya beberu.

Kuna mtu kaingia dukani na elfu kumi, kanunua unga, dawa ya meno, na nini amekaa anasubiri change.... kaambiwa na mangi ndo imeisha hiyo.

Cha ajabu huyu beberu anatoa uchambuzi yakinifu lema 😂😂😂... yani hali mbaya kiuchumi, hamna ela... unatoa story za lema?

Utofauti ya wananchi na beberu, angalia mfano wa nchi kama Kenya... Mambo yakienda ndivyo sivyo wananchi wanaongea, wanaipush serikali physically, wanahoji... nyie beberu ni lema, sijui gwajima, sijui mama...

MTAKUFA NA UMASKINI WENU.

img_1_1678084290997.jpg
 
Kuna watu wanatunza familia kupitia bosaboda. Shida ni kuwa unawaambia watu wasifanye bodaboda na hutoi mbadala wa biashara.
 
Hali nchini Sasa hivi sio Hali ,ombaomba wamezidi kuongezeka Sana , wengi Milo mitatu hawapati , kazi kwa vijana Yaani daah acha tu
 
Kuna watu wanatunza familia kupitia bosaboda. Shida ni kuwa unawaambia watu wasifanye bodaboda na hutoi mbadala wa biashara. Anakazwa kweli huyu Lema. .
Nakwambiaga wewe unywe maji kwaresima ngumu hii
 
Kabla sijazungumzia chochote tengeneza picha ya beberu (mbuzi dume) kichwani. Fikiria anapewa pumba, majani ya kutosha na mwishowe maji ila mwisho wa siku nini? kisu shingoni.

Hili tukio completely na nyie Watanzania (mimi nimejitoa kwa kukosa hivyo vigezo vya beberu).

Hivi unadhani kwanini Lema aliwatukana madreva bodaboda? Kwanini anatukana na kudhalilisha kipato cha chini? Jibu ni moja, amegundua Watanzania ni beberu utawatukana, watakasirika, utaenda nunua pumba na majani, utawapa kisha watasahau.

Hali ya uchumi ilivyo nchini sio ya kuongea chumbani, maisha yamekuwa magumu mtaani, tunashuhudia kampuni nyingi zikihamisha biashara zao kupeleka nchini Kenya, tunaona wawekezaji wakitoa negative comments kwenye mazingira ya uwekezaji nchini.

Serikali haina wasiwasi wala panik yeyote ile kwasababu inaongoza watu variety ya beberu.

Kuna mtu kaingia dukani na elfu kumi, kanunua unga, dawa ya meno, na nini amekaa anasubiri change.... kaambiwa na mangi ndo imeisha hiyo.

Cha ajabu huyu beberu anatoa uchambuzi yakinifu lema 😂😂😂... yani hali mbaya kiuchumi, hamna ela... unatoa story za lema?

Utofauti ya wananchi na beberu, angalia mfano wa nchi kama Kenya... Mambo yakienda ndivyo sivyo wananchi wanaongea, wanaipush serikali physically, wanahoji... nyie beberu ni lema, sijui gwajima, sijui mama...

MTAKUFA NA UMASKINI WENU.

View attachment 2541300
Lema hakuwatukana bodaboda, ila alizungumzia madhila yao. Hivi mtu akisema watanzania wapo nyuma kielimu, magonjwa ni mengi, ujinga ni mkubwa amewatukana watanzania?
 
Lema ametusi.... katukana mamba, ila maadam waliotukanwa ni beberu😂😂😂 pasi na shaka ubunge 2025
Lema hakuwatukana bodaboda, ila alizungumzia madhila yao. Hivi mtu akisema watanzania wapo nyuma kielimu, magonjwa ni mengi, ujinga ni mkubwa amewatukana watanzania?
 
Lema ametusi.... katukana mamba, ila maadam waliotukanwa ni beberu😂😂😂 pasi na shaka ubunge 2025
Kama hakutakuwa na siasa za kupita bila kupingwa, Lema anakuwa mbunge wa Arusha Mjini mapema asubuhi 2025..
 
Back
Top Bottom