Nyakageni
JF-Expert Member
- Feb 1, 2011
- 15,045
- 5,092
alafu hii familia ina matatizo ya mitandaoni sana kwani hata mmiliki wa website ya Ze utamu ni binamu wa huyu Le Tapeli a.k.a Le kibonge.
Jamaa anamtia aibu Waziri Mkuu mstaafu Mh. John Malecela.
CCM ni mkusanyiko wa wahalifu wa kila aina.
eeh! Halafu yeye ndo alivujisha info kwa Kikwete mpaka akakamatwa!