Watanzania mnajionaje?

Ewaaaa! Mkuu mawazo yangu na yako yamefumaniana! Nilitaka kuwasilisha hiki ulichokisema, Ramli yangu inaniambia kuwa huyu ni ONTARIO katika ID mpya! Na kama ni yeye basi ajue anahitajika huku atoe ufafanuzi wa grisi' ya Mil 50 aliokwapua.
ha hahaaaa....JF bhanaaa
 
tunapishana ukubwa wa kiwango cha udhaifu.
cc Why nations fail book.
unaweza kupita JF ya nigeria Nairaland utagundua pia niwajinga kuliko Magreat thinkers wa jf yenye member wachache tu.
Kwanza Nairaland ya ovyo kama nn. JF Imesimama kwa kweli
 
Mkuu....
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…