'Kama Makamu Mwenyekiti wa Tume ya Uchaguzi IEBC pamoja na Makamishina Wanne wa Tume hatukubaliani na Matokeo ya Uchaguzi kwani hatujashirikishwa katika hatua Muhimu ya Uhakiki wa Nyaraka na tumemshangaa mno Mwenyekiti Wafula Chebukati Kumtangaza William Ruto kuwa ndiye Mshindi' amesema Makamu Mwenyekiti wa Tume ya Uchaguzi IEBC nchini Kenya.
Chanzo: BBC Dira ya Dunia na U Magazene ya Uhai FM.
Chanzo: BBC Dira ya Dunia na U Magazene ya Uhai FM.