Interpol: Mwenyekiti IEBC alihongwa $3M

Msanii

Platinum Member
Jul 4, 2007
22,603
29,748
Shirika la Polisi wa Kimataifa Interpol limetoa taarifa inayomuanika Mwenyekiti wa Tume Huru na Mipaka ya Uchaguzi Kenya (IEBC) Bwana Wafula Chebukati na makamishna wawili wa tume hiyo kuwa walipokea rushwa ya Dola Milioni Tatu za Kimarrekani ili kuidhinisha kampuni iyakayochapisha karatasi za kupigia kura kwenye Uchaguzi mkuu wa Kenya.

Uchaguzi huo umekamilika baada ya Mwenyekiti wa atume kumtangaza Mshindi huku kukiwa na mgawanyiko baina ya makamishna wa Tume hiyo ambapo Naibu Mwenyekiti na wajumbe wengine 3 wamegima kuyatambua matokeo yaliyotangazwa na Mwenyekiti Chebukati.

Naibu Rais, Mheshimiwa William Ruto alitangazwa Rais Mteule na tume hiyo ya Uchaguzi
IMG-20220817-WA0002.jpg
 
Shirika la Polisi wa Kimataifa Interpol limetoa taarifa inayomuanika Mwenyekiti wa Tume Huru na Mipaka ya Uchaguzi Kenya (IEBC) Bwana Wafula Chebukati na makamishna wawili wa tume hiyo kuwa walipokea rushwa ya Dola Milioni Tatu za Kimarrekani ili kuidhinisha kampuni iyakayochapisha karatasi za kupigia kura kwenye Uchaguzi mkuu wa Kenya.

Uchaguzi huo umekamilika baada ya Mwenyekiti wa atume kumtangaza Mshindi huku kukiwa na mgawanyiko baina ya makamishna wa Tume hiyo ambapo Naibu Mwenyekiti na wajumbe wengine 3 wamegima kuyatambua matokeo yaliyotangazwa na Mwenyekiti Chebukati.

Naibu Rais, Mheshimiwa William Ruto alitangazwa Rais Mteule na tume hiyo ya UchaguziView attachment 2325908
Hii imeshakanushwa nyie manyani hebu kuweni na aibu
 
Shirika la Polisi wa Kimataifa Interpol limetoa taarifa inayomuanika Mwenyekiti wa Tume Huru na Mipaka ya Uchaguzi Kenya (IEBC) Bwana Wafula Chebukati na makamishna wawili wa tume hiyo kuwa walipokea rushwa ya Dola Milioni Tatu za Kimarrekani ili kuidhinisha kampuni iyakayochapisha karatasi za kupigia kura kwenye Uchaguzi mkuu wa Kenya.

Uchaguzi huo umekamilika baada ya Mwenyekiti wa atume kumtangaza Mshindi huku kukiwa na mgawanyiko baina ya makamishna wa Tume hiyo ambapo Naibu Mwenyekiti na wajumbe wengine 3 wamegima kuyatambua matokeo yaliyotangazwa na Mwenyekiti Chebukati.

Naibu Rais, Mheshimiwa William Ruto alitangazwa Rais Mteule na tume hiyo ya UchaguziView attachment 2325908
Marekani wLikuwa wanataka Raila ashinde sasa hii ya interpol ni sehemu ya mikakati hiyo sio coincidence. Tutasikia mengi ili mradi mtu wao ameshindwa uchaguzi. Hao intepol tangu lini wamekuwa wakitoa taarifa za rushwa zinazohusu viongozi? Mbona huku Tanzania ambako rushwa inaliwa waziwazi lakini gawajahi kutoa taarifa kuhusu vigogo wa rushwa wa mikataba na manunuzi makubwa.
 
Shirika la Polisi wa Kimataifa Interpol limetoa taarifa inayomuanika Mwenyekiti wa Tume Huru na Mipaka ya Uchaguzi Kenya (IEBC) Bwana Wafula Chebukati na makamishna wawili wa tume hiyo kuwa walipokea rushwa ya Dola Milioni Tatu za Kimarrekani ili kuidhinisha kampuni iyakayochapisha karatasi za kupigia kura kwenye Uchaguzi mkuu wa Kenya.

Uchaguzi huo umekamilika baada ya Mwenyekiti wa atume kumtangaza Mshindi huku kukiwa na mgawanyiko baina ya makamishna wa Tume hiyo ambapo Naibu Mwenyekiti na wajumbe wengine 3 wamegima kuyatambua matokeo yaliyotangazwa na Mwenyekiti Chebukati.

Naibu Rais, Mheshimiwa William Ruto alitangazwa Rais Mteule na tume hiyo ya UchaguziView attachment 2325908
Marekani wLikuwa wanataka Raila ashinde sasa hii ya interpol ni sehemu ya mikakati hiyo sio coincidence. Tutasikia mengi ili mradi mtu wao ameshindwa uchaguzi. Hao intepol tangu lini wamekuwa wakitoa taarifa za rushwa zinazohusu viongozi? Mbona huku Tanzania ambako rushwa inaliwa waziwazi lakini gawajahi kutoa taarifa kuhusu vigogo wa rushwa wa miktaba na manunuzi makubwa.
 
Marekani wLikuwa wanataka Raila ashinde sasa hii ya interpol ni sehemu ya mikakati hiyo sio coincidence. Tutasikia mengi ili mradi mtu wao ameshindwa uchaguzi. Hao intepol tangu lini wamekuwa wakitoa taarifa za rushwa zinazohusu viongozi? Mbona huku Tanzania ambako rushwa inaliwa waziwazi lakini gawajahi kutoa taarifa kuhusu vigogo wa rushwa wa miktaba na manunuzi makubwa.
Ndio Biden alivyokwambia!!???
 
Marekani wLikuwa wanataka Raila ashinde sasa hii ya interpol ni sehemu ya mikakati hiyo sio coincidence. Tutasikia mengi ili mradi mtu wao ameshindwa uchaguzi. Hao intepol tangu lini wamekuwa wakitoa taarifa za rushwa zinazohusu viongozi? Mbona huku Tanzania ambako rushwa inaliwa waziwazi lakini gawajahi kutoa taarifa kuhusu vigogo wa rushwa wa mikataba na manunuzi makubwa.
Kwa uthibitisho upi?
 
Back
Top Bottom