Msanii
Platinum Member
- Jul 4, 2007
- 22,603
- 29,748
Shirika la Polisi wa Kimataifa Interpol limetoa taarifa inayomuanika Mwenyekiti wa Tume Huru na Mipaka ya Uchaguzi Kenya (IEBC) Bwana Wafula Chebukati na makamishna wawili wa tume hiyo kuwa walipokea rushwa ya Dola Milioni Tatu za Kimarrekani ili kuidhinisha kampuni iyakayochapisha karatasi za kupigia kura kwenye Uchaguzi mkuu wa Kenya.
Uchaguzi huo umekamilika baada ya Mwenyekiti wa atume kumtangaza Mshindi huku kukiwa na mgawanyiko baina ya makamishna wa Tume hiyo ambapo Naibu Mwenyekiti na wajumbe wengine 3 wamegima kuyatambua matokeo yaliyotangazwa na Mwenyekiti Chebukati.
Naibu Rais, Mheshimiwa William Ruto alitangazwa Rais Mteule na tume hiyo ya Uchaguzi
Uchaguzi huo umekamilika baada ya Mwenyekiti wa atume kumtangaza Mshindi huku kukiwa na mgawanyiko baina ya makamishna wa Tume hiyo ambapo Naibu Mwenyekiti na wajumbe wengine 3 wamegima kuyatambua matokeo yaliyotangazwa na Mwenyekiti Chebukati.
Naibu Rais, Mheshimiwa William Ruto alitangazwa Rais Mteule na tume hiyo ya Uchaguzi