Watanzania kwa mapenzi tunatisha.

Watanzania kwa mapenzi tunatisha.

kuwa mzalendo! kwanini unajenga 'inferiority complex'.. ingekuwa vizur kama ungesema kipi kifanyike badala la kuponda...
 
kuwa mzalendo! kwanini unajenga 'inferiority complex'.. ingekuwa vizur kama ungesema kipi kifanyike badala la kuponda...

Hayo yako. Zipo statement tatu tatu hapo, kama huoni cha kufanya na kujifunza basi pole.
 
Wakati wa kulala;
UK, g9t my queen
US, sleep tight baby
Bongo, Mama nanii.. umefunga mlango?

Hhahahaa.. hii kali zaidi. Hebu waseme na wewe sio mzalendo.
 
[/B]

Nitaongezaje speed? Atakuta nimeshafika tunakoelekea au nimesharudi home!

Halafu kwa wanawake:
Wakati jamaa amekatisha story na kukuachia mkono, wewe ndio kwanza unajibananisha naye..na yeye anakazana kuweka mazingira ya 'simjui'..hahaha.
 
Wote twapenda kuwa wazalendo ila mengi yana ukweli....
... h

Sawa kabisa. Sijui kama nikiisifia FC barcelona na kuiponda yanga ndio nakosa uzalendo (samahani lakini).
 
In U.S....this is my lovely wife.

When a student fails an exam, the father says,
In the UK- you can still do better darling,
In the US. Yes you can, I know you can,
In Tz- kumbe niliuza ngo'mbe na nikapeleka ng'ombe nyingine shule.....

Dah!!! hapa umeniacha hoi kiongozi but kuna ukweli flani hivi, wazazi wengi wa kibongo kumencourage mwanae wanaona kama ni kumdekeza so wao wanakimbiliaga kwenye lawama tu..
 
Dah!!! hapa umeniacha hoi kiongozi but kuna ukweli flani hivi, wazazi wengi wa kibongo kumencourage mwanae wanaona kama ni kumdekeza so wao wanakimbiliaga kwenye lawama tu..

Na sio lawama tu na ubabe juu. Nimezoea kumuona baba ana ndita tu. Akitoa story hata kama ni za kuchekesha unacheka kwa nukta nukta na wasiwasi kibao. Ukifanya makosa tu utasikia 'mama nanii umeliona toto lako'?
 
Sawa kabisa. Sijui kama nikiisifia FC barcelona na kuiponda yanga ndio nakosa uzalendo (samahani lakini).

Hata kama wewe ni mmiliki wa Young Africans, kuisifia FC Barca hakukufanyi upunguze uzalendo wako kwa Yanga... tabia hizi wazazi wanazo sana! Tena yapo mengi tu...
Viva Barca....
 
Hata kama wewe ni mmiliki wa Young Africans, kuisifia FC Barca hakukufanyi upunguze uzalendo wako kwa Yanga... tabia hizi wazazi wanazo sana! Tena yapo mengi tu...
Viva Barca....

Hahaaa..asante mkuu.
 
Na sio lawama tu na ubabe juu. Nimezoea kumuona baba ana ndita tu. Akitoa story hata kama ni za kuchekesha unacheka kwa nukta nukta na wasiwasi kibao. Ukifanya makosa tu utasikia 'mama nanii umeliona toto lako'?

Tena anaweza ukashangaa anakuambia "unacheka cheka nini?? kwanza muda wa kusoma huu nenda ndani kasome"
 
Tena anaweza ukashangaa anakuambia "unacheka cheka nini?? kwanza muda wa kusoma huu nenda ndani kasome"

Hahaha..hatari kweli kweli. Na ndio itokee sasa unatumika kama tusi.

Mama akiwa hayupo;
Baba: liangalie..akili mbovu kama mama yako.
Baba akiwa hayupo
Mama: hebu lione,..mjinga kama baba yako.
 
Hahaha..hatari kweli kweli. Na ndio itokee sasa unatumika kama tusi.

Mama akiwa hayupo;
Baba: liangalie..akili mbovu kama mama yako.
Baba akiwa hayupo
Mama: hebu lione,..mjinga kama baba yako.

Hahahahahahaha,,, kiongozi huu ukweli mtupu, kuna siku nlisikia mama mmoja anamwambia mwanae "liangalie sura mbaya kama ya baba yako"
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom