blogspot
JF-Expert Member
- Jan 7, 2017
- 1,268
- 1,138
Habari wakuu.
Naimani tumeamka salama na kila mmoja yupo kwenye majukumu yake.
Kama kichwa kinavyojieleza. Watanzania wengi haswa walikua wamezoea utafutaji kwa njia ya janja janja wamekua wakiilaumu serikali kuwa maisha magumu.
Wazee nawashauri tu kama mta panic ni dalili kuwa mmenielewa. "PUNGUZENI MATUMIZI YASIYO YA LAZIMA KWA SASA"
Mfano: Matumizi ya Magari wengi mnapoteza pesa kwenye mafuta, service nk tumia gari yako panapokua na ulazima. Punguzeni idadi ya Bia au Bata tumia hata bia zako 3 nenda kapumzike, out piga moja kwa mwezi
Nawasilisha! Kama unajua utapanic usisogee kwenye huu uzi tafadhali. Mambo ya siasa usilete hapa peleka jukwaa husika.
Comment ziwe fupi fupi
Naimani tumeamka salama na kila mmoja yupo kwenye majukumu yake.
Kama kichwa kinavyojieleza. Watanzania wengi haswa walikua wamezoea utafutaji kwa njia ya janja janja wamekua wakiilaumu serikali kuwa maisha magumu.
Wazee nawashauri tu kama mta panic ni dalili kuwa mmenielewa. "PUNGUZENI MATUMIZI YASIYO YA LAZIMA KWA SASA"
Mfano: Matumizi ya Magari wengi mnapoteza pesa kwenye mafuta, service nk tumia gari yako panapokua na ulazima. Punguzeni idadi ya Bia au Bata tumia hata bia zako 3 nenda kapumzike, out piga moja kwa mwezi
Nawasilisha! Kama unajua utapanic usisogee kwenye huu uzi tafadhali. Mambo ya siasa usilete hapa peleka jukwaa husika.
Comment ziwe fupi fupi